Haya mambo siyo rahisi kwa mwenye tafakuri.
Tundu Lissu aliwahi kusema kuwa dalali Wenje alimleta kwake akitaka kumpa pesa kabla ya uchaguzi was CHADEMA, alipata wapina kwa maslahi ya nani?
Tushaona mihamala ya kifedha mkubwa akifanya pamoja na kumiliki magari ya kifahari. Kwa biashara gani au...
Kama mnafuata sayansi unajua blackboard is good absorber, it absorb all heat energy throwed to it. Na bado kwenye jua kali la jangwani mkamvalisha mwanamke tena burka akome na joto wanaume mkavaa nguo nyeupe ili kureflect joto mahayawani wakubwa nyie
Mangi anajitambua
Pascal ifike mahali uwe more direct achana na akina Chinua Achebe unatchelewesha hayo waachie academician.
SEMA kateuliwa mwizi tapeli na inawezekana akapewa uwaziri, hatutoshangaa chini ya CCM. Aliyezuiliwa kuingia kwenye nchi inayoongoza kwa inteligensia kwa tuhuma za mauaji hapa anapewa...
Hakuna kipya kwa Pascal, yeye always atatafuta jinsi ya kuwalaumu na kuwakosoa CHADEMA.
Itokee siku aseme bila kupepesa macho kwamba CCM ndio kansa nchini. Baada ya Mbowe kutungiwa kesi ya ugaidi alipotolewa gerezani na baadae maridhiano yaliyoongozwa na Kinana mwishowe CCM walikataa kila kitu...
Pascal bado nadiriki kusema wewe ndio unatumia rhetorics kuhalalisha dhana zako ambazo huwezi kuziprove, inawezekana tatizo la kudhani una Ufahamu mkubwa kumbe hakuna kitu.
Hiyo dhana ya dhambi ni kukutana kimwili inaweza kuwa ni dhana kubwa ya kipumbavu kuwahi kutamkwa, baada ya kuumba...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.