Recent content by cencer09

  1. C

    JamiiForums Tanzania Unyama wa kutisha wa mauaji ya vijana trainees wa mpira wa miguu Under 17 yaliyofanyika Oktoba 29, 2025!

    Wakapeleka laana yao kwenye fainali ya façon under 17 wakimuimba Samia na Makonda Muumba akakasirika akaacha wafungwe
  2. C

    JamiiForums Tanzania Ukijaza Undugu/Uzanzibari/Utanganyika kwenye Uongozi ndiyo yamkuta Mama Samia! 2026 eti una pongeza Urusi kwa ukombozi wa Africa!!!

    Magufuli alisema alipendekezwa na Kikwete, huyu Mzee ni laana ya taifa
  3. C

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina juu ya uwepo wa Abdul Hafidhi katika msafara na ziara ya Rais Samia na nafasi yake

    Unaweza kuwa imetoa hoja muhimu na kubwa kuliko zote, huyu mama anatafuta pa kukimbia maana her future is .........
  4. C

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina juu ya uwepo wa Abdul Hafidhi katika msafara na ziara ya Rais Samia na nafasi yake

    Haya mambo siyo rahisi kwa mwenye tafakuri. Tundu Lissu aliwahi kusema kuwa dalali Wenje alimleta kwake akitaka kumpa pesa kabla ya uchaguzi was CHADEMA, alipata wapina kwa maslahi ya nani? Tushaona mihamala ya kifedha mkubwa akifanya pamoja na kumiliki magari ya kifahari. Kwa biashara gani au...
  5. C

    JamiiForums Tanzania Ufafanuzi wa kina juu ya uwepo wa Abdul Hafidhi katika msafara na ziara ya Rais Samia na nafasi yake

    Kwa hiyo huo ubongo wa upande wa kulia ndio wa Mwanshambya?
  6. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Tundu Lissu: Nipo tayari kwa mazungumzo nikiwa huru na CHADEMA ikifutiwa kesi zote

    Huo siyo ubongo unaozungumza, tatizo la machawa MNAPAKATWA
  7. C

    JamiiForums Tanzania Siikubali CCM kwa namna wanavyoendesha nchi ila Sina Imani na mpinzani wake CHADEMA

    Acha kutumia kinyeo kufikiria PUMBAVU wewe
  8. C

    JamiiForums Tanzania Barua ya wazi kwa Mange Kimambi

    Kama mnafuata sayansi unajua blackboard is good absorber, it absorb all heat energy throwed to it. Na bado kwenye jua kali la jangwani mkamvalisha mwanamke tena burka akome na joto wanaume mkavaa nguo nyeupe ili kureflect joto mahayawani wakubwa nyie Mangi anajitambua
  9. C

    JamiiForums Tanzania Acheni Wivu wa Kike!, Kumuonea Wivu Mwenye Kismat, Mwenye Nacho, Anaongezewa!. Huu Ubunge Tuu, Kelele Hivi!, Atakapokuwa Waziri, Mtafura Kujinyonga?.

    Pascal ifike mahali uwe more direct achana na akina Chinua Achebe unatchelewesha hayo waachie academician. SEMA kateuliwa mwizi tapeli na inawezekana akapewa uwaziri, hatutoshangaa chini ya CCM. Aliyezuiliwa kuingia kwenye nchi inayoongoza kwa inteligensia kwa tuhuma za mauaji hapa anapewa...
  10. C

    JamiiForums Tanzania Dkt. Mwigulu: tuendelee kumuombea Lukuvi

    Sisi tunaomba na mwingine juu zaidi afe nichinje mbuzi yeye anatuambia tumuombee waziri wa serikali ya wauaji?
  11. C

    JamiiForums Tanzania Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Hakuna kipya kwa Pascal, yeye always atatafuta jinsi ya kuwalaumu na kuwakosoa CHADEMA. Itokee siku aseme bila kupepesa macho kwamba CCM ndio kansa nchini. Baada ya Mbowe kutungiwa kesi ya ugaidi alipotolewa gerezani na baadae maridhiano yaliyoongozwa na Kinana mwishowe CCM walikataa kila kitu...
  12. C

    JamiiForums Tanzania Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Pascal bado nadiriki kusema wewe ndio unatumia rhetorics kuhalalisha dhana zako ambazo huwezi kuziprove, inawezekana tatizo la kudhani una Ufahamu mkubwa kumbe hakuna kitu. Hiyo dhana ya dhambi ni kukutana kimwili inaweza kuwa ni dhana kubwa ya kipumbavu kuwahi kutamkwa, baada ya kuumba...
Back
Top Bottom