Kama mnafuata sayansi unajua blackboard is good absorber, it absorb all heat energy throwed to it. Na bado kwenye jua kali la jangwani mkamvalisha mwanamke tena burka akome na joto wanaume mkavaa nguo nyeupe ili kureflect joto mahayawani wakubwa nyie
Mangi anajitambua
Pascal ifike mahali uwe more direct achana na akina Chinua Achebe unatchelewesha hayo waachie academician.
SEMA kateuliwa mwizi tapeli na inawezekana akapewa uwaziri, hatutoshangaa chini ya CCM. Aliyezuiliwa kuingia kwenye nchi inayoongoza kwa inteligensia kwa tuhuma za mauaji hapa anapewa...
Hakuna kipya kwa Pascal, yeye always atatafuta jinsi ya kuwalaumu na kuwakosoa CHADEMA.
Itokee siku aseme bila kupepesa macho kwamba CCM ndio kansa nchini. Baada ya Mbowe kutungiwa kesi ya ugaidi alipotolewa gerezani na baadae maridhiano yaliyoongozwa na Kinana mwishowe CCM walikataa kila kitu...
Pascal bado nadiriki kusema wewe ndio unatumia rhetorics kuhalalisha dhana zako ambazo huwezi kuziprove, inawezekana tatizo la kudhani una Ufahamu mkubwa kumbe hakuna kitu.
Hiyo dhana ya dhambi ni kukutana kimwili inaweza kuwa ni dhana kubwa ya kipumbavu kuwahi kutamkwa, baada ya kuumba...
Pascal umegerelize mno na kuifanya kuwa hoja nyepesi sana, hivi unaweza kunishawishi kuwa kuna vitu biblia imevificha? Kwa mfano msalabani biblia imesema walimvua na mavazi yake wakagawana.
Umesema inawezekana kabisa ikawa alijifungulia kwenye mtende kisha akaingizwa kwenye hili la ng'ombe. Kwa...
Mbona kikwete, Wassira, Kinana, Makamba, Butiku, Pinda wametoka madarakani nani umemsikia akitoa hoja hizi? Au Warioba hakuwahi kuwa madarakani?
Nadhani unafiki ni kutompa huyu Bibi Tibaijuka mau yake, at least she dared
Kikwete, Kinana, Pinda Makamba nk hawasemi bado wako madarakani?
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.