Paskali umemalizia kwa kusema katiba mpya inakuja.
Siku 100 za ahadi ya kuanza mchakato zimepita, na kuna tume baada ya tume zipi na zinatarajiwa kuwepo, swali langu katiba mpya inakuja kwa timeline ile ile au nyingine?
Sincerely unaiona katiba mpya anytime soon?
Mkuu kudeal na maccm inahitaji vitu vikubwa viwili, uwe juha Ili usitumie akili kufikiria kama machawa au uchanganyikiwa kama wewe.
Walijua itakuwa business as usual, watapora, wataiba uchaguzi halafu CHADEMA wakipiga kelele watalobby baadhi ya viongozi wa CHADEMA, watafanya mazungumzo kisha...
Mkuu haya maridhiano unayojaribu kutuuliza yana tofauti na Yale yaliyosemwa na Humphrey Polepole kabla hajapotezwa na wapotezaji?
Maana alisema kati ya mengi kuwa watanzania tusikubali maridhiano baada ya uchaguzi maana watafanya watakayofanya Ili kupata ushindi halafu tayari wameishatayarisha...
Hujajibu swali chawa mjinga.
Maridhiano ya hiyari kati ya nani na nani?
Akina nani wanaridhiana? Zanzibar wameridhiana CCM na CCM B or sorry na ACT wazalendo. Huo uimara wa msingi kwani umetetereka?
Aisee ukiwa chawa lazima uwe chizi, unajua binadamu ukikosa aibu na uoga unakuwa ni kituko?
Ndio maana nasema machawa MNAPAKATWA, kama uncle T Hana aibu kupata ndio jinsi mlivyo.
Mna maisha magumu mno.
Wewe utakuwa baby boy maana si kwa uchawa huu, hii laana kuwahi kutokea TANZANIA.
Rais aliyeingia madarakani kwa kuua raia wake zaidi ya 10000.
Anayeteka wapinzani wake, kuwaua, kuwapoteza na hata kuwalawiti.
Aliyewapa wapinzani wake KESI kubwa nchini Ili kuwadhibi, alumpa Mbowe KESI ya ugaidi...
Wewe utakuwa baby boy maana si kwa uchawa huu, hii laana kuwahi kutokea TANZANIA.
Rais aliyeingia madarakani kwa kuua raia wake zaidi ya 10000.
Anayeteka wapinzani wake, kuwaua, kuwapoteza na hata kuwalawiti.
Aliyewapa wapinzani wake KESI kubwa nchini Ili kuwadhibi, alumpa Mbowe KESI ya ugaidi...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.