Recent content by cencer09

  1. C

    JamiiForums Tanzania Asante VP Bal. Dr. Nchimbi kwa Maneno Makubwa, ya Faraja na Matumaini Kuhusu Katiba. Unamsaidia Sana Rais na Utawasaidiwa Sana Watanzania Iwapo...!

    Paskali umemalizia kwa kusema katiba mpya inakuja. Siku 100 za ahadi ya kuanza mchakato zimepita, na kuna tume baada ya tume zipi na zinatarajiwa kuwepo, swali langu katiba mpya inakuja kwa timeline ile ile au nyingine? Sincerely unaiona katiba mpya anytime soon?
  2. C

    JamiiForums Tanzania Asante VP Bal. Dr. Nchimbi kwa Maneno Makubwa, ya Faraja na Matumaini Kuhusu Katiba. Unamsaidia Sana Rais na Utawasaidiwa Sana Watanzania Iwapo...!

    Few moments later, Nchimbi afukuzwa uanachama wa CCM, je ulimtetea au kama kawaida ya machawa ukajiunga na mlipa hela kumshambulia Nchimbi ?
  3. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maridhiano ya Kitaifa: Ni baina ya nani na nani?

    As united country, nimeipenda sana hii. It is as united as Samia and Nchimbi
  4. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maridhiano ya Kitaifa: Ni baina ya nani na nani?

    Mkuu kudeal na maccm inahitaji vitu vikubwa viwili, uwe juha Ili usitumie akili kufikiria kama machawa au uchanganyikiwa kama wewe. Walijua itakuwa business as usual, watapora, wataiba uchaguzi halafu CHADEMA wakipiga kelele watalobby baadhi ya viongozi wa CHADEMA, watafanya mazungumzo kisha...
  5. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maridhiano ya Kitaifa: Ni baina ya nani na nani?

    Hayahusiani na wale walioandaa maandamano ya kuchoma vitu kupinga ushindi wenu halali wa asilimia 98?
  6. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maridhiano ya Kitaifa: Ni baina ya nani na nani?

    Mkuu haya maridhiano unayojaribu kutuuliza yana tofauti na Yale yaliyosemwa na Humphrey Polepole kabla hajapotezwa na wapotezaji? Maana alisema kati ya mengi kuwa watanzania tusikubali maridhiano baada ya uchaguzi maana watafanya watakayofanya Ili kupata ushindi halafu tayari wameishatayarisha...
  7. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Maridhiano ya Kitaifa: Ni baina ya nani na nani?

    Hujajibu swali chawa mjinga. Maridhiano ya hiyari kati ya nani na nani? Akina nani wanaridhiana? Zanzibar wameridhiana CCM na CCM B or sorry na ACT wazalendo. Huo uimara wa msingi kwani umetetereka?
  8. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Natangaza kuidharau Tume mpya iliyoundwa kuchunguza ya Octoba 29, Wananchi niungeni mkono

    Aisee ukiwa chawa lazima uwe chizi, unajua binadamu ukikosa aibu na uoga unakuwa ni kituko? Ndio maana nasema machawa MNAPAKATWA, kama uncle T Hana aibu kupata ndio jinsi mlivyo. Mna maisha magumu mno.
  9. C

    JamiiForums Tanzania Mzani wa Sheria: Dkt. Kaijage (UDOM) Gerezani kwa Ugaidi, Sheikh Mwaipopo Huru Pamoja na Vikosi vya "Mbwa Mwitu"?

    Ukiona utawala hauna tofauti na utawala wa apartheid unaojitahidi kuingiza hofu kwa raia jua unaishia mwisho wake umefika
  10. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Natangaza kuidharau Tume mpya iliyoundwa kuchunguza ya Octoba 29, Wananchi niungeni mkono

    Chawa hawezi kujenga hoja kwa sababu hamtumii ubongo kufikiria
  11. C

    JamiiForums Tanzania PostGE2025 Natangaza kuidharau Tume mpya iliyoundwa kuchunguza ya Octoba 29, Wananchi niungeni mkono

    Wewe ndio nonsense chawa uliyeisaliti jamii yako na inawezekana umeisaliti jinsia yako
  12. C

    JamiiForums Tanzania Anaweza kuondolewa Madarakani, Iwapo...

    Labda walimuambia watazima betri inayopump mashine ya Moyo wake kwa remote akina isiwe taabu
  13. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuzindua ujenzi wa SGR kutoka Tabora kwenda Kigoma pamoja na meli 4 mpya

    Wewe utakuwa baby boy maana si kwa uchawa huu, hii laana kuwahi kutokea TANZANIA. Rais aliyeingia madarakani kwa kuua raia wake zaidi ya 10000. Anayeteka wapinzani wake, kuwaua, kuwapoteza na hata kuwalawiti. Aliyewapa wapinzani wake KESI kubwa nchini Ili kuwadhibi, alumpa Mbowe KESI ya ugaidi...
  14. C

    JamiiForums Tanzania Rais Samia kuzindua ujenzi wa SGR kutoka Tabora kwenda Kigoma pamoja na meli 4 mpya

    Wewe utakuwa baby boy maana si kwa uchawa huu, hii laana kuwahi kutokea TANZANIA. Rais aliyeingia madarakani kwa kuua raia wake zaidi ya 10000. Anayeteka wapinzani wake, kuwaua, kuwapoteza na hata kuwalawiti. Aliyewapa wapinzani wake KESI kubwa nchini Ili kuwadhibi, alumpa Mbowe KESI ya ugaidi...
Back
Top Bottom