Recent content by cencer09

  1. C

    Barua ya wazi kwa Mange Kimambi

    Kama mnafuata sayansi unajua blackboard is good absorber, it absorb all heat energy throwed to it. Na bado kwenye jua kali la jangwani mkamvalisha mwanamke tena burka akome na joto wanaume mkavaa nguo nyeupe ili kureflect joto mahayawani wakubwa nyie Mangi anajitambua
  2. C

    Acheni Wivu wa Kike!, Kumuonea Wivu Mwenye Kismat, Mwenye Nacho, Anaongezewa!. Huu Ubunge Tuu, Kelele Hivi!, Atakapokuwa Waziri, Mtafura Kujinyonga?.

    Pascal ifike mahali uwe more direct achana na akina Chinua Achebe unatchelewesha hayo waachie academician. SEMA kateuliwa mwizi tapeli na inawezekana akapewa uwaziri, hatutoshangaa chini ya CCM. Aliyezuiliwa kuingia kwenye nchi inayoongoza kwa inteligensia kwa tuhuma za mauaji hapa anapewa...
  3. C

    Dkt. Mwigulu: tuendelee kumuombea Lukuvi

    Sisi tunaomba na mwingine juu zaidi afe nichinje mbuzi yeye anatuambia tumuombee waziri wa serikali ya wauaji?
  4. C

    Paschal Mayala: CHADEMA wajishushe, wakubali maridhiano

    Hakuna kipya kwa Pascal, yeye always atatafuta jinsi ya kuwalaumu na kuwakosoa CHADEMA. Itokee siku aseme bila kupepesa macho kwamba CCM ndio kansa nchini. Baada ya Mbowe kutungiwa kesi ya ugaidi alipotolewa gerezani na baadae maridhiano yaliyoongozwa na Kinana mwishowe CCM walikataa kila kitu...
  5. C

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Pascal bado nadiriki kusema wewe ndio unatumia rhetorics kuhalalisha dhana zako ambazo huwezi kuziprove, inawezekana tatizo la kudhani una Ufahamu mkubwa kumbe hakuna kitu. Hiyo dhana ya dhambi ni kukutana kimwili inaweza kuwa ni dhana kubwa ya kipumbavu kuwahi kutamkwa, baada ya kuumba...
  6. C

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Naunga mkono hoja kwaresma ni takwa la kanisa katoliki hata wakristo wengine wakiamua kufunga watakuwa wameiga wakatoliki
  7. C

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Pascal umegerelize mno na kuifanya kuwa hoja nyepesi sana, hivi unaweza kunishawishi kuwa kuna vitu biblia imevificha? Kwa mfano msalabani biblia imesema walimvua na mavazi yake wakagawana. Umesema inawezekana kabisa ikawa alijifungulia kwenye mtende kisha akaingizwa kwenye hili la ng'ombe. Kwa...
  8. C

    Prof. Anna Tibaijuka: Kutumia Mahakama kudhoofisha Vyama vya Upinzani hakujawahi kuleta ushindi kwa Serikali wala kuviua Vyama vya Upinzani

    Mbona kikwete, Wassira, Kinana, Makamba, Butiku, Pinda wametoka madarakani nani umemsikia akitoa hoja hizi? Au Warioba hakuwahi kuwa madarakani? Nadhani unafiki ni kutompa huyu Bibi Tibaijuka mau yake, at least she dared Kikwete, Kinana, Pinda Makamba nk hawasemi bado wako madarakani?
  9. C

    Prof. Anna Tibaijuka: Kutumia Mahakama kudhoofisha Vyama vya Upinzani hakujawahi kuleta ushindi kwa Serikali wala kuviua Vyama vya Upinzani

    Unasema kweli? Hebu apply hii theory yako kwa Mzee mheshimiwa sana Stephen Wassira
  10. C

    Compare and Contrast Mfungo Mwezi Mtukufu wa Ramadhani vs Kwaresma. Waislamu hadharani, Wakristu ni sirini!, Nani ni sahihi kutimiza mapenzi ya Mungu?

    Kuanzia hapa: Yesu wa wakristo alizaliwa Bethlehem kwenye zizi la ng'ombe, na Isa bin Mariam alizaliwa kusikojulikana chini ya mtende. Yesu alizungumza kiebrania na Isa bin Mariam alizungumza kiarabu. Siku tatu Isa bin Mariam alizungumza wakati Yesu hakuna sehemu alizungumza akiwa mchanga...
  11. C

    Kanusho la Dorothy Gwajima kuhusu kuzushiwa kusema Polepole alikuwa rafiki wa kweli linaongea mengi sana

    Unaogopa kuiudhi mamlaka ya uteuzi? Huna principal kuna kosa gani hapo
  12. C

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Ndio maana ninasema machawa MNAPAKATWA, hivi kwenda mahakamani kusikiliza KESI ya Tundu Lissu kunahusikanaje na kumtukana rais? Nikuambie kitu! Hiyo ni dalili za kutumia kinyeo kufikiria MNAPAKATWA
  13. C

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Mapinduzi yanayofanywa na vijana wasiokuwa hata na panga? Mlimpa kesi ya uhaini Tundu Lissu na Mbowe mlimpa kesi ya ugaidi halafu mnamualika gaidi ikulu? Marekani walipomtangaza Osama bin laden kuwa ni gaidi walimualika White House? Nyie machawa mmesaliti jamii yenu ndio maana mnasaliti hadi...
  14. C

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Kuwapiga na kuwavunja miguu wananchi walioenda kusikiliza KESI ya mchongo ya Lissu ni sawa? Kuwateka na kuwapoteza akina Mdude Nyagali, Polepole. Kuwateka na kuwafira akina Boniface Mwangi ndio kuheshimu haki za wananchi?
  15. C

    Wengi hawapendi JPM akumbukwe kwa Uzuri: lakini atabaki kuwa chaguo la watanzania wengi

    Mnataka maandamano ya kupongeza mwenyekiti wa chama? Haya hayo maandamano HALISI yaliyofanyika ya black lives matter yalikuwaje? Mauaji mnawafuata hadi waliokuwa nyumbani? Kusaliti jamii yako huwezi shindwa kusaliti jinsia yako. Machawa MNAPAKATWA
Back
Top Bottom