Recent content by CAVOK

  1. C

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    Miaka kama kumi iliyopita nilitembelea wilaya moja mkoani Mwanza, nilikuwa nikitoka mkoa fulani kuelekea huko kwenye hiyo Halimashauri, Sababu nilikuwa na shida ya kuonana na DED wa wilaya hiyo. Siku iliyofuata baada ya kulala jijini Mwanza ilinibidi niliondoka asubuhi mapema ili kuwahi kufika...
  2. C

    Nyie wanaume mnachotufanyia sisi tuwapendao...

    "Pakawa, "] Wengi wao wanafanana Wana kawaida ya kuja na kigezo cha wokovu mishida yao mingiii uwaonee huruma lakini ni mbwa mwitu Afadhali mlevi kuliko hawa wa kujifanya wanamjua Mungu ni walaghai Follow your instincts Ni bora kuwa mwenyewe kuliko kujipa stress Oooh! mbona mkuu kama wasitarabu...
  3. C

    Nyie wanaume mnachotufanyia sisi tuwapendao...

    Unadanganya, kwani ukimtafuta kila cku wewe shida ipo wapi? stress zingine huwa majipa ninyi wenyewe wanawake, kikubwa uwe na uhakika anakupenda, na ifahamike kuwa upendo haupimwi kwa nani kaanza kumtumia mwenake text. kumuka naweza kukutumia na kukupigia cm Zaidi ya hata mara20 still bado nina...
  4. C

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    "tumbayz, "] Kwenye kula binamu inategemea kabila na mila kuna baadhi ya makabila mtu anamuoa/ kuolewa na binamu ila kwa baadhi kula binamu ni laana kubwa sana.
  5. C

    Ulishawahi kula tunda kimasihara?

    ["Kitangiri15, "] Aaah aaah naona ulivyokula wa kibara plan yako ilikuwa kula tena kijiji gani? Busambara, namhula au nansimo Mkuu kwa wamama wa kibara jamaa ndo aliliwa kimasihara coz wanapenda sana vijana
  6. C

    Natafuta mchumba ikitupendeza tufike tuwe mume na mke

    Endelea kusubir utampata tu, kikubwa usiwe na haraka
Back
Top Bottom