Recent content by cavee

  1. cavee

    KWA ALAMA HIZI NAWEZA SOMA ACCOUNTANCY CHUO GANI?

    Chuo chochote ndani na nje ya nchi
  2. cavee

    Serikali ya Raisi Magufuli ilivyowekeza kuua sekta ya elimu

    Umeongea ukweli mtupu serikali isichezee sekta ya elimu
  3. cavee

    Ufadhili

    Finca ila unawalipa kwa kila mwezi
  4. cavee

    Ipi ni hatma ya wenye G.P.A 2.7-G.P.A 2.9?

    Hatima ya gpa 2.7 je wa form six mwenye point 3.5 je asemeje
  5. cavee

    Kama kuna waliopata NACTE first selection

    Kwa hao bado paka tcu wachague daah subirini sana
  6. cavee

    Kama kuna waliopata NACTE first selection

    First ilishatoka muda sana na tusha sahau na second ishatoka muda sana kwa sasa watu wana anza kusoma next week kwa baadhi ya vyuo ila kwa ngazi ya certificate na diploma ila kwa second watu wa afya kilimo na ualimu ndo wanasubiria ila kwa vyuo vya serikali .Now ni toleo la tatu ndo wana finalize
  7. cavee

    Selection za chuo vs matokeo ya Necta

    Necta bhana nikikumbuka olevel nilipata pressure kubwa ila advance ili shuka kidogo
  8. cavee

    Division three ya 14 mpaka 16 2016.

    Niliwauliza ilo swali wizara ya elimu pale kwwnye maonyesho na wakanijibu kuna mpango maalum wa kuwatoa ao wenye c za mwaka jana kwenda kwenye foundation huku hii kitu imefutwa yani ni maruwe ruwe tu
Back
Top Bottom