First ilishatoka muda sana na tusha sahau na second ishatoka muda sana kwa sasa watu wana anza kusoma next week kwa baadhi ya vyuo ila kwa ngazi ya certificate na diploma ila kwa second watu wa afya kilimo na ualimu ndo wanasubiria ila kwa vyuo vya serikali .Now ni toleo la tatu ndo wana finalize
Niliwauliza ilo swali wizara ya elimu pale kwwnye maonyesho na wakanijibu kuna mpango maalum wa kuwatoa ao wenye c za mwaka jana kwenda kwenye foundation huku hii kitu imefutwa yani ni maruwe ruwe tu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.