Huyo mpaka anakutafuta wewe, jua mahusiano yake na mwanaume wenu yapo hatua za mwisho. Anachofanya ni kukuchochea wewe upanick uanzishe vurugu kwa mwanaume. Tulia kama hujui kinachotokea ila atakuja kukuita wewe mchawi unamroga kisa tu mission ya kukuvurugq haijafanikiwa
Basi wapo tofauti wangu toka anazaliwa anausikia I KNOW I CAN now ana 8years old na anuimba wote na ni wa kike, kukiwa na Talent show shuleni kwao anauimba huo!
Kupendwa kwa mishangazi imeanza zamani sana toka miaka hiyo, uthibitisho ni Nyambizi yake Dully Sykes
"Nyambizi nakupenda japo mkubwa
Mateso unayonipa ni makubwa
Naomba unielewe wangu mchumba"
Usiwaze, akibeba mimba na kuzaa hayo yataisha. Ila hutakiwi kumkinai, miaka mitatu ya mwanzo ya ndoa mwanamke apewe ukuni mpaka ajue kuwa hakuolewa Kuja kulala. Punguza uvivu, mwenzio anataka mimba huyo.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.