Recent content by catyliciousy

  1. C

    Jamani naombeni kuhusu posti za walimu

    Subiri hadikesho Leo haifunguki kirahisi nahisi iko occupiedsana amka saanane usiku ufungue
  2. C

    Jamani naombeni kuhusu posti za walimu

    Subiri hadikesho Leo haifunguki kirahisi nahisi iko occupiedsana amka saanane usiku ufungue
  3. C

    Ajira Mpya Za Walimu Ni Kama Kesi Ya Lulu.

    Jamani wewe uliyeanzisha hii mada mbona umepotea hewani,tupe updates mbona wizara haina ajira mpya mpaka mudahuu
  4. C

    Post za Ualimu toka Wizara ya Elimu

    Jaman hebu acheni kutukanana sisiwote ni wa tz,ajira tyrsubirni waziweke hewani
  5. C

    Ajira Mpya Za Walimu 2013

    Jamani tuache kudanganyana basi na kurushana roho ,ooh mara nimesikia zinatoka leo mara hazina haina hela,mara mwezi wa saba,jamani kama huna uhakika na taarifa zako kaa kimya kuliko kudanganya vijana wenzako waliochoka kuzisubiri hizo ajira. Tuwe watu wazima na tujadili mambo ya msingi nini...
  6. C

    Ajira Mpya Za Walimu 2013

    Wjamani ndo viongoz wetu hao wanajipendelea tu wao,kama kuna mtu ana mawasiliano ya John mnyika amcheki ili atusaidie kwa hili
  7. C

    Walimu wapya mnataka kuganga njaa au kulitumikia taifa?

    jibishaneni mpaka mtukanane kabisa wenzenu wanakula raha za nchi tu
  8. C

    Wizara ya elimu yamekuwa..........!!!

    Nani alitolee taarifa wakati wote wmejifungia ndani wanakula kodiza wananchi.
  9. C

    Walimu wapya wanaosubiria ajira eti wanataka kuandamana!

    Revolution, revolution revolution for changes. Tanzania bila maandano............haiwezekani jamani waaalimu wote dar andamaneni mkadai haki yenu. Me nawasapoti 100% andamana hadi kieleweke si walisema january leo ni february. Maaandamano kwanza ............. Afu mgomo utafata........
  10. C

    Ajira za walimu za yeyuka

    Jamani mbona mnaturusha roho haya hayo mambo yamwezi wasaba tena yametoka wapi?
  11. C

    Kwanini ajira za walimu hazitangazwi?

    Jaman hebu watuonee huruma tumechoka kukaa nyumbani hadi tumeanza kujuta kwann tulisoma ualimu Tanzania
Back
Top Bottom