Recent content by Cattigo

  1. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Unyonyaji wa sheria ya mifuko ya jamii hasa NSSF kuhusu manufaa ya michango kwa wachangiaji

    Shida siyo Nssf, bali CCM. of we don't confront those crooks, even our decendants shall be slaves forever.
  2. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Mmoja anielezee hiki kikokotoo cha mkopo NMB

    Kwanini wakate hela ya bima kwenye hela yako as if hiyo bima inakucover wewe?
  3. Cattigo

    JamiiForums Tanzania 𝗕𝗮𝗿𝘂𝗮 𝘆𝗮 𝗠𝗱𝘂𝗱𝗲 𝗡𝘆𝗮𝗴𝗮𝗹𝗶 𝗸𝘄𝗲𝗻𝗱𝗮 𝗸𝘄𝗮 𝘄𝗮𝗳𝗮𝗱𝗵𝗶𝗹𝗶 𝗸𝘂𝘁𝗮𝗸𝗮 𝗺𝗶𝘀𝗮𝗮𝗱𝗮 𝗶𝘀𝗶𝘁𝗶𝘀𝗵𝘄𝗲

    Taifa lipi linahujumiwa? INABIDI HAO WATEKAJI WAKUDAKE WAKUTANDIKE HIVYO VIKENGELE VYAKO KWA NYUNDO then urudi kufuta huo utumbo wako
  4. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Mtaani vijana wanaharibika kwa ulevi

    [emoji1][emoji1][emoji1][emoji1][emoji1]
  5. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Mtaani vijana wanaharibika kwa ulevi

    Kwa hiyo uzee siku hizi unaanzia 40?! Anyways, vijana wadogo wa 20years hadi 30 wananiita dogo! Kwasababu naonekana mdogo, wao wamezeeka[emoji1]. Watu wakiambiwa lifestyle inachangia afya yako ya akili na mwili pia, wanasema mbona babu zao walikunywa sana pombe hadi wanafikisha 80/90years...
  6. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Niliyoyaona nilipotembelea mkoani Tanga

    Tosheka na hao family members wako
  7. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Mahusiano mengi hayafiki mbali kwa sababu watu wana haraka ya kubadilishana tabia

    Nyie wapuuzi ndo mnaharakia shekeli/pesa
  8. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Waarabu wa Afrika ni Waarabu au Waafrika?

    Kwahiyo na ngozi yako hiyo mbupu ukienda kuishi Saudia unakuwa muarabu?
  9. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Serikali inahitaji kuingalia Mwanza kwenye miundombinu, ni jiji zuri sana kutembelea

    Kulikuwa na bado kuna umakusudi wa serikali kutelekeza miji yote ya kanda ya ziwa! Utajiri wa kila aina uliojaa kanda ya ziwa na idadi kubwa ya watu kuwa huko kunawapa serikali hofu kwamba wakipaendeleza huenda miji /mikoa mingine ikabaki tupu. Mwanza mathalani, ni jiji la pili kwa ukubwa kwa...
  10. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Depression inaniua

    Ngoja ukutane na psychologist mwenye depression vile vile
  11. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Hii daladala iliyotaka kuleta ajali msafara wa CDF iadhibiwe, haina adabu

    DHARURA siyo kwa viongozi tu, inawezekana unasimamishwa labda ni gari ya wagonjwa au fire, au kuna hatari mbele n.k
  12. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Rais Samia katika Clip yako Mmoja umesema wazi wazi kuwa Wewe Kabila lako ni Mzanzibari, je,kwanini hukusema Wewe Kabila lako ni Mtanzania?

    Tuelewane: ya bandari hayajaisha,tunawasubiria kwa wakati sahihi!. Pili, hawezi kusema kabila lake ni "mzanzibari wakati ni rais wa nchi ya Tanzania" Tafsiri yake ni kwamba Zanzibari inatawala Tanganyika na Tanzania.
  13. Cattigo

    JamiiForums Tanzania Maajabu ya Zanzibar, hawalimi, hawafugi lakini wanakula wanashiba

    Saudi wanalima kuliko unavyodhania! Acha umbulula
Back
Top Bottom