Recent content by carter2012

  1. C

    INAUZWA Nauza Maharage mapya ya njano Mazuri yapo Dar es salaam kilo Shilingi 2500

    Mzigo upo Dar es salaam,Ukonga na delivery ipo
  2. C

    INAUZWA Nauza Maharage mapya ya njano Mazuri yapo Dar es salaam kilo Shilingi 2500

    Mzigo upo Dar es salaam,,Ukonga na huduma ya delivery ipo
  3. C

    INAUZWA Nauza Maharage mapya ya njano Mazuri yapo Dar es salaam kilo Shilingi 2500

    Habari wadau nauza maharage mapya mazuri ya njano kwa bei ya jumla. kilo moja nauza shilingi 2500. Mzigo upo tani 2 na nusu asante. Tuwasiliane kwa namba ya simu +255789740368
  4. C

    Nahitaji maembe dodo na boribo tani tano yaani kilo 5000 kwa Zanzibar au Dar

    hello Mimi naweza kukupatia hizo kilo 5000 za embe Dodo.nina mzigo wa kutosha. Nipatie namba yako ya simu tuwasiliane na kupatana bei
  5. C

    For sale mashine mpya na ya kisasa ya kusafisha mazao ya nafaka

    Wapendwa Wana jamii. Napenda kuwatangazia kuwa ninauza mashine mpya kabisa(Brand new) na ya kisasa ya kusafisha mazao ya nafaka kama Ufuta,mbaazi,Choroko,kunde,maharage,nk.inauwezo wa kusafisha Tani 5 kwa saa. Bei ni Tshs 35,000,000(Milioni thelathini matano) Negotiable. Serious buyer only...
  6. C

    Pata mashine za kilimo zilizo bora na za kisasa

    Ndugu Mkulima wa Kitanzania. Napenda kukutangazia kwamba mkombozi wako katika kuongeza thamani ya mazao yako amepatikana sasa. Sisi ni wakala wa kampuni kubwa ya kimataifa kutoka China.inayotengeneza mashine za kilimo kwa kutumia Teknolojia ya kisasa na katika kiwango vya kimataifa. Mashine...
Back
Top Bottom