Recent content by carmercy

  1. C

    TEC toeni tamko kukemea ubaguzi kwenye elimu

    Nachojua mimi wanakupa muda wa kuimprove, wanakitu kinaitwa nyota kwa shule ya Alfagems, akishindwa kutoka huko anaondolewa kwa sababu ya kutobadilika kwake. Pia watoto wetu wa sasa tumewalea kimayai mno wanatabia za ajabu sana unataka hata pale anapoonywa na kutobadilika aendelee kufugwa? Zipo...
  2. C

    Tupeane mbinu za ku-negotiate mishahara

    Ni kinyume na utaratibu, na wanafanya kukuibia haki zako nyingi tu. Mimi nimewahi fanya kwenye mfumo huo, mshahara ulikuwa ukigawanywa mara 2 kwa mwezi, tarehe 15 inatoka bila makato ya aina yeyote na ile ya 30 ndo inakatwa, ya tarehe 30 ni ndogo kuliko ya tarehe 15 hivyo unajikuta NSSF kiwango...
  3. C

    Rais MAGUFULI aagiza mabewa yote mapya yaliyonunuliwa hivi karibuni yarudi DSM.

    Wamezidi ubabaishaji,tumechoka na vitu chakavu
  4. C

    Lowassa: Nilishinda urais lakini CCM wakaupora ushindi wangu na dunia nzima inajua

    Duh,kweli nawe ni GT kwa jibu hili? Inaelekea ww ndo hujaelewa,ipitie vzr comment yake ndo uje utiririke
  5. C

    Lowassa: Nilishinda urais lakini CCM wakaupora ushindi wangu na dunia nzima inajua

    Kwann pia jimbo la mikumi madiwan wengi ni ccm na mbunge ni cdm? Hilo la segerea usijitoe ufahamu,kura za upinzan waligawana. Lait angesimamishwa mgombea mmoja wa ukawa jimbo lilikuwa mikononi mwenu,sawa na Mtama jimbo la nape,cuf walisimamisha mgombea halikadhalika na cdm
  6. C

    Kwa Prof Muhongo na Mwakyembe, Rais Kateleza kuwateua kwenye Baraza

    Hivi kuna unafiki mkubwa uliowahi tokea tanzania kama wa upinzani kumtangaza Lowassa Fisadi,na baadaye wakameza matapishi yao? Its better mkafunga midomo yenu isiyojua kuchambua jema na baya na kuvuta subira uone baraza lake litafanya yepi kwa taifa letu
  7. C

    Prof. Lipumba na Lissu wakosoa uteuzi wa Prof. Muhongo

    Alijuizuru Lowasa na baadaye akagombea urais,hii sawa pia?
  8. C

    Chekeleeni ya Magufuli, yatakujieni ya Hitler

    Edo anaona ni maigizo kama walivyoanza na mkwele
  9. C

    Chama cha CUF kususia uchaguzi wa Meya na Naibu Meya Manispaa ya Ilala

    Hapo sasa ndo sheeda,maybe kuna maslahi
  10. C

    Nina hakika hili baraza halikuwa chaguo la Mheshimiwa JPM

    Inaonekana ktk maisha yako hujawahi tenda kosa hata mara moja. Hakuna mkamilifu na daima kumbuka ngoma inaweza kuwa ileile ila uchezaji ukawa tofauti. Jifunze kuwa na subira
  11. C

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Majibu ya mkuu yanawahusu hawa yaani hawajui kama ngoma inaweza kuwa ileile lkn uchezaji tofauti
  12. C

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Tatizo tunafikiria ndani ya box na si nje ya box,yes mabadiliko sio lazima yaje na sura ngeni,bali moyo wa kujituma na uongozi bora ikiwemo uwajibikaji. Magufuli si chizi,anajua nn anafanya. Yes ngoma ni ileile na mdundo ni uleule sema uchezaji ni tofauti
  13. C

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Hujalipenda ww lkn muhusika mkuu kaliona na anajua kuwa litafanya kazi kwa maslahi ya taifa,likishindwa hatawalea
  14. C

    Rais Magufuli atangaza Baraza Jipya la Mawaziri - 10 Disemba 2015

    Hifadhi maneno,subiri mziki uanze ndo ukosoe uchezaji wao
Back
Top Bottom