Recent content by carlmax II

  1. carlmax II

    Je lengo la Msigwa kutumkia CCM Ni kumfuata muhasimu wake bwana Mbilinyi??

    Mwenyewe saa hizi kazima simu kazima data kalala wanaoumia ni viongozi wenzake wa CHADEMA na wafuasi wahafidhina wa CHADEMA. Si tulikubaliana mtu asisumbuliwe akitumia haki yake ya kikatiba?
  2. carlmax II

    Kutoka kuwa Mwenyekiti wa Kanda hadi kuwa DC ni anguko la Aibu kuu

    Bado kuna taarifa zilizagaa kwamba Chair na Makamu wake haziivi, jumlisha na Pesa chafu ...... Wakapanda Helicopter wakajirekodi. Tukasikia makamu katoroka mikutano wakatuzuga af huyo Msigwa ndio alikuwa upande wa makamu Mwenyekiti. Hadi hiki chama kifikishe miaka 50 viongozi wote watabaki kambi...
  3. carlmax II

    SoC04 Kufikia mapinduzi makubwa ya kisayansi

    KUWEKEZA KWA WALIMU WA MASOMO YA SAYANSI NA HISABATI ILI KUFANYA MAPINDUZI YA SAYANSI. Kufanya mapinduzi ya Sayansi na teknolojia serikali inapaswa kuwekeza kwa Walimu wa masomo ya Sayansi na Hisabati ili kuongeza msukumo na kuendana na kasi ya dunia kwenye matumizi ya sayansi na teknolojia...
  4. carlmax II

    SoC04 Kikosi maalumu cha Ufuatiliaji na Utekelezaji (KMUU)

    KIKOSI MAALUMU CHA UFUATILIAJI NA UTEKELEZAJI. Serikali iunde kikosi maalum cha kufuatilia utekelezaji na uwajibikaji wa watumishi serikalini na sekta binafsi. Kutokana na watanzania wengi kuwa wavivu na kutokuwajibika ipasavyo katika majukumu Yao, mifano michache ni kipindi cha awamu ya tano...
Back
Top Bottom