:nono:mtu anaposema CPA ya nini ni Ishara mojawapo kuwa anajiamini anaweza kufanikiwa katika lolote analolifanya bila ya kuwa na CPA, EITHER KAZI YA UHASIBU OR BUSINESS RELATED BILA YA KUWA NA HIYO CPA, KWA HIYO AMEAMUA KU-MOVE ON SABABU AMEONA CPA ITAMPOTEZEA MUDA NA WAKATI. MTU WA AINA HII...
inaonekana we ni msomi lakini bado ni mtumwa wa usomi wako, nani kakwambia lazima niwe practising accountant? wakati nimegundua field nyingine katika business na commerce kwa ujumla ambazo ni more exciting na challenging na zina-mpa mtu upeo mpana zaidi kuliko hiyo mitihani ya CPA.
sijasoma...
wajinga ndio wanadhani CPA ndio maisha, wajinga ndio wanaringia CPA huku wakipewa wasolve real accounting problems wanashindwa. nina bcom yangu nzuri ya acc nafikiri nahitaji kuendelea kufanya kazi kwa muda nipate uzoefu huku nikipata mshahra mzuri tu, nikitaka kujiendeleza nitasoma MBA na sio...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.