Recent content by carica papaya

  1. C

    Hii ndio (CV) Wasifu ya Nape Moses Nnauye

    Butimba ttc haijawahi kuwa high school,dogo acha uongo,huyo nape kakupa sh ngapi vile?
  2. C

    Hivi kwanini Wahindi na Waarabu hawajiungi vyama vya Upinzani?

    Wahindi na waarabu ni wezi na mafisadi,wanapokuwa ccm hawalipi kodi na wanaingiza vitu vya magendo na hata madawa ya kulevya hawakamatwi,kwani wanajua penye udhia penyeza rupia vitu ambavyo ni jadi ya ccm,wakiingia upinzani hawataiba maana huko hakuna wezi,wezi na mafisadi nchi hii ni...
  3. C

    UDOM Police Brutality: Haki za binadamu, wanasheria na wanasiasa mko wapi?

    [QUwOTE=MUSSA ALLAN;11665529]Haya ndio matokeo ya kutokutii sheria. Inasikitisha sana kuona wasomi badala ya kuwa mfano kwa Raia wengine wao ndio wanakuwa vinara wa kuhamasisha fujo. Hata hivyo poleni sana, Hauna majonzi msiba wa kujitakia! wewe ni mshenzi sana,huna kabisa akili!unataka...
  4. C

    Maazimio ya Kikao cha Kamati Kuu ya CCM kilichofanyika Jumanne Tarehe 13 Januari 2015 Unguja

    Hakuna demokrasia chini ya utawala wa ccm,ccm ni wanyonyaji na watesaji wakubwa wa wanyonge indirectly,na ni mapunguani kama wewe wanaoipenda.
  5. C

    Kwa mara nyingine Waislam kutumika tena kama mtaji wa CCM 2015

    Hakuna atakayekuelewa,kwani umeandika pumba tu.
  6. C

    Kamati Kuu kukata jina la Lowassa

    Kwani watanzania ni wajinga kiasi gani mpaka waendelee kuichagua ccm?zama za uijnga zimeshapita ndugu,watanzania wengi hivi sasa wanajitambua,mtaji wa ccm ulikuwa ni uijnga wa watz,kwasasa mtaji umeisha.
  7. C

    Mbowe kugombea urais 2015. Mwaka 2010 Silaa alikuwa anamfagilia njia Mbowe kugombea urais 2015.

    Hapo inaonekana kabisa unataka kumpiga na Yule jamaa aliyemshika warioba anakuzuia kwa mkono wake,unalaana kijana.
  8. C

    Mapinduzi: Maajabu yafuatayo yatatokea Zanzibar Leo!

    Kwa maana hiyo rais wa JMTZ hatambuliki Zanzibar na yeye amekubaliana na hilo,ni vigumu sana kwa rais kukubali kuwa rais wa upande mmoja tu,sasa je kuna Siri gani hapa?inakuwaje nchi ziungane kisha nchi nyingine isimtambue rais wa muungano?hapa kuna siri kubwa wa Tz tumefichwa.
  9. C

    Mapinduzi: Maajabu yafuatayo yatatokea Zanzibar Leo!

    Hakuna ambalo wewe hulijui,ilakwasababu ya kupumbazwa na ushabiki wa kisiasa hata baya linalofanywa na ccm kwako ni zuri tu,una upofu wa macho na wa kiakili.
  10. C

    Mazimio ya kamati kuu ya ACT-Tanzania iliyoketi 5/01/2015 Popex hotel

    Mwl,chama kimekufa hicho,kitila na mwigamba siyo watu,mliwapokea kwa mbwembwe sasa mnakinywea.tehtehtehtehtehtehtehtehteh!
  11. C

    Freeman Mbowe hatarini kuumbuka, TPDC waweka hadharani gharama za Ujenzi wa Bomba la Gesi

    Chabruma kuwa mzalendo,ni raslimali ngapi katika nchi hii zinatumika kwa manufaa ya wachache?kwanini kilatuhuma huwa a mnaitetea?ila ujue kuwa tuhuma nyingi huwa mnazipinga na zote huwa za kweli,utaumbuka chabruma,anyway siku hizi umeacha kumponda lowasa?
  12. C

    Polisi yafyatua risasi, mabomu ya machozi Ubungo kuzuia vurugu

    Kutokana na chama tawala ccm kushinda kila chaguzi kwa mabavu,kumefanya wananchi kuamua kuwakataa kwa nguvu,hii imejidhihirisha katika matukio kadhaa ya kuzuiwa kwa wenyeviti wa mitaa wa ccm kuapishwa katika miji ya dar es salaam na mororgoro,wenyeviti hao wanadaiwa kushindwa katika uchaguzi...
  13. C

    Asilimia 42 CCM imepita kwa mapingamizi

    Hii taarifA imetolewa na nape,kwahiyo ni moja ya propaganda za kisiasa,ni uongo mtupu!
  14. C

    Rais wangu Kikwete kuwa na Subira, PAC watujibu kwanza maswali haya

    Usieme kama wananchi,sema kama wana ccm,maana hoja yako ni ya kishabiki.
  15. C

    Kuwawekea Pingamizi zaidi ya Wagombea 500 wa CHADEMA ni Kukuza Demokrasia?

    Wameonewa kwasababu ccm wanajua hawawezi kushinda mbele ya wananchi wenye hasira za kunyonywa Na Ccm,
Back
Top Bottom