Recent content by carbon14

  1. C

    JamiiForums Tanzania Barua kwako dada Josephine Mushumbusi

    Unawezaje kuongoza taifa wakati umeshindwa kuongoza familia yako, kazi kudandia wake za watu heri hata umeumbuka mapema, tengeneza ya nyumbani kwako kwanza ndipo uje kwa watu.
  2. C

    JamiiForums Tanzania Hotuba ya Dr. Slaa kwa Watanzania toka Hoteli ya Serena - Tarehe 1 Septemba, 2015

    Chadema Ni Taasisi Haijangengwa Katika Misingi Ya Mtu Binafsi, Kila La Heri Uendako
  3. C

    JamiiForums Tanzania Sababu 10 kwanini John Magufuli atashinda uchaguzi Mkuu wa Urais 2015

    Taarifa yoyote bila uthibitisho in porojo za mitaani, ndo unachokifanya wewe, afya haipimwi kwa maandishi, labda nikukumbushe tu kuwa hata wakati wa bunge la katiba mpya wako waliosema Jaji warioba amebakiza siku chache ya kuishi duniani mojawapo ya aliyesema hayo ni Komba ambayo sasa alishakufa...
  4. C

    JamiiForums Tanzania Sababu 10 kwanini John Magufuli atashinda uchaguzi Mkuu wa Urais 2015

    Hiyo ni propaganda tu, na tukumbuke hata mfa maji haachi kutapatapa zaidi kura ndiyo itakayo amua pia usisahau ukubwa wa pua si uwingi wa makamasi hivyo kuwa na wanachama wengi haimanisha utapata kura nyingi la! hasha.
Back
Top Bottom