Habari mimi kero yangu ni kuhusu Kampuni ya ulinzi ya Gardaworld Security Tanzania kama inavyofahamika, Mwaka 2025 Serikali ilipandisha kima cha chini cha mshahara kwa makampuni makubwa ya ulinzi ikiwemo kwetu.
Ilitakiwa kuanzia Januari 2026 waanze kulipa kwa maslahi mapya, ambapo baadhi ya...
Mimi ni miongoni wa wakereketwa kutokana na hizi simu za marketing za DSTV. Wamekuja na njia mpya ya kupigia watu simu kwa namba tofauti tofauti binafsi. Kama mtu hajalipia kifurishi kwa muda mrefu lazima ana sababu binafsi na kama ana shida pia atawatafuta kwa namba zenu za mawasiliano ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.