Ndio mkuu, zipo nyingi kutoka makampuni tofauti. Mf. Busta zote ni mbolea za juu(fortified liquid fertilisers) na hutofautiana pia ubora. Tumia wuxal, Tanzanite, supergro, Vegimax. Au rich in calcium mf. Calcium match
Hapa kuna Calcium deficiency ama Kutokana na Joto, umwagiliaji wako wa maji haujaMeet demand ya Miche yako, Hivyo, Jitahidi kwenye routine ya maji lakini pia Piga mbolea ya juu ambayo ni rich in micro elements particularly Calcium kama Wuxal ambayo ni excellent sana. Na mbolea ya chini tumia...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.