Dada nimekusoma,tatizo lako we we una low esteem,au utakua una bipolar dis order.Au huenda ukawa ulipitia wakati mgumu wakati wa nyuma,hivyo kuna jambo lina ku hunt.ukiwa una low esteem hua unakua na wasi wasi uwapo around watu wengi au unahisi hauko comfortable ukiwa na mtu.ukiwa na bipolar...
Ugaidi ni miongoni mwa majanga makubwa yanayo ikumba dunia hivi sasa.Na cha kusikitisha zaidi ni kua janga hili limeambatanishwa na dini na kila tendo la kigaidi litokeapo,hufungamanishwa na dini hasa uislamu.
Amini nawaambieni,mtu yeyote anaweza kufanikisha azma yake yoyote,iwapo kutakuwepo na...
Habari zenu wakuu.Natumai nyote muwazima.Mimi ni mgeni hapa,na hii bila shaka itakua ndio thread yangu ya kwanza.
Natumai nyote munafahamu kuhusu maasala ya nyota.Naam,sio nyota za angani bali nyota kama uwezo au nguvu Fulani za kibinadamu.Au mushawahi kusikia mchawi anaifunga nyota ya...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.