Recent content by captain 21

  1. captain 21

    JamiiForums Tanzania Hivi neno NOT SELECTED kwenye ajira portal hata watoto wa wakubwa linawahusu ?

    Niwamewapiga 80 paper kama mbili za utumishi lkn wapi NOT SELECTED, Lakini nashushukuru MUNGU sikukata tamaa kuna paper mbili hizi niliziotea moja nilipiga 55 nyingine 70 nikawa SELECTED oral interview muhimu ni kutokata tamaa na kupambana
  2. captain 21

    JamiiForums Tanzania Kalenda Mpya ya Minada ya Dhamana za Serikali Yatolewa: Fursa kwa Wewe Mwekezaji!

    Hizi ishu za account management wengi wamepigwa wakaishia kusema forex ni utapeli. Ushauri wangu jifunze kutrade wewe, kama unahisi unamambo mengi huwezi kusoma ni heri hiyo pesa yako ukawekeze sehemu nyingi
  3. captain 21

    JamiiForums Tanzania Msaada: Uraia wa Kurithi na Changamoto na Mfumo wa Ajira Portal

    Kwa msaada zaidi wapigie simu au nenda HQ zao
  4. captain 21

    JamiiForums Tanzania Usahili wa Kuandika, Wizara ya Mambo ya Nje

    Mambo vipi wakuu!? Kwa yeyote ambae ameshawahi kufanya usahili wa kuandika Wizara ya Mambo ya Nje (Foreign Service Officer), maswali yao huwa yanatoka maeneo gani??
  5. captain 21

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa Ajira unawakataa waliosoma kozi ya Development Finance & Investment Planning

    Kama ishu ni kuitwa kwenye interview mbona hata government wanaita tena saana tu, au wenzetu huwa hamuitwi?
  6. captain 21

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa Ajira unawakataa waliosoma kozi ya Development Finance & Investment Planning

    Hakuna kitu kama hicho mkuu, kozi yeyote inayotolewa na chuo kilichosajiliwa na serikali ni kozi halali. Kinachokea ajira portal sometimes huwa ni changamoto za kimfumo, mfano mimi nimesoma uchumi pure no and walala nini lkn mfumo bado ulikua unanikataa, ingawa sasa hivi tayari imeshakubali...
  7. captain 21

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa Ajira unawakataa waliosoma kozi ya Development Finance & Investment Planning

    Mrejesho wakuu Yeah nahisi itakua hivyo maana kila mtu alikua analalamika
  8. captain 21

    JamiiForums Tanzania Changamoto ajira portal kushindwa kutuma maombi ajira za TPA

    Mrejesho: Wakuu nimefanikiwa kuapply, nahisi ilikua ni changamoto tu ya kimfumo maana imekubali tu bila kufanya additional changes yeyote..
  9. captain 21

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa Ajira unawakataa waliosoma kozi ya Development Finance & Investment Planning

    Naona mfumo umeshatulia sasa nime-submitt leo mida hii ya jioni imekubali
  10. captain 21

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa Ajira unawakataa waliosoma kozi ya Development Finance & Investment Planning

    Hizi ajira TPA zimekua kusanga sana, mimi mwenyewe nimesoma Uchumi na watu wa uchumi kwenye category za Planning Officer II tupo lkn kila nikiomba mfumo unanigomea
  11. captain 21

    JamiiForums Tanzania KERO Mfumo wa Ajira unawakataa waliosoma kozi ya Development Finance & Investment Planning

    Mimi nimesoma uchumi pure na kwenye category watu wa uchumi wametuweka pia lkn kila nikijaribu ku-apply hiyo Planning Officer II (TPA) inanitema
  12. captain 21

    JamiiForums Tanzania Changamoto ajira portal kushindwa kutuma maombi ajira za TPA

    Wakuu mambo vipi? Hii changamoto moto ni kwangu tu au kwa wote. Nimekua nikihangaika kutuma maombi ajira za TPA (Planning Officer II) kupitia AJIRA PORTAL, kila nikijaribu mfumo unaniambia sina sifa. Nimejaribu mpaka ku-edit baadhi ya vitu lkn wapi bado inazingua, naombeni msaada kwa yeyote...
  13. captain 21

    JamiiForums Tanzania Online portal ya TAESA bado ipo au ilishakufa?

    Wakuu mambo vipi? Naomba mwenye kufahamu anisaidie, hivi ile online portal ya TAESA bado iko active? Maana ni muda mrefu sana kila nikiingia kwenye site yao naona inagoma hasa kwenye kufanya registration.
  14. captain 21

    JamiiForums Tanzania Msaada: Usaili kwa njia ya mtandao

    Shukrani sana mkuu, point muhimu sana hii
Back
Top Bottom