Niwamewapiga 80 paper kama mbili za utumishi lkn wapi NOT SELECTED, Lakini nashushukuru MUNGU sikukata tamaa kuna paper mbili hizi niliziotea moja nilipiga 55 nyingine 70 nikawa SELECTED oral interview muhimu ni kutokata tamaa na kupambana
Hizi ishu za account management wengi wamepigwa wakaishia kusema forex ni utapeli. Ushauri wangu jifunze kutrade wewe, kama unahisi unamambo mengi huwezi kusoma ni heri hiyo pesa yako ukawekeze sehemu nyingi
Mambo vipi wakuu!? Kwa yeyote ambae ameshawahi kufanya usahili wa kuandika Wizara ya Mambo ya Nje (Foreign Service Officer), maswali yao huwa yanatoka maeneo gani??
Hakuna kitu kama hicho mkuu, kozi yeyote inayotolewa na chuo kilichosajiliwa na serikali ni kozi halali. Kinachokea ajira portal sometimes huwa ni changamoto za kimfumo, mfano mimi nimesoma uchumi pure no and walala nini lkn mfumo bado ulikua unanikataa, ingawa sasa hivi tayari imeshakubali...
Hizi ajira TPA zimekua kusanga sana, mimi mwenyewe nimesoma Uchumi na watu wa uchumi kwenye category za Planning Officer II tupo lkn kila nikiomba mfumo unanigomea
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.