Hizi ishu za account management wengi wamepigwa wakaishia kusema forex ni utapeli. Ushauri wangu jifunze kutrade wewe, kama unahisi unamambo mengi huwezi kusoma ni heri hiyo pesa yako ukawekeze sehemu nyingi
Mambo vipi wakuu!? Kwa yeyote ambae ameshawahi kufanya usahili wa kuandika Wizara ya Mambo ya Nje (Foreign Service Officer), maswali yao huwa yanatoka maeneo gani??
Hakuna kitu kama hicho mkuu, kozi yeyote inayotolewa na chuo kilichosajiliwa na serikali ni kozi halali. Kinachokea ajira portal sometimes huwa ni changamoto za kimfumo, mfano mimi nimesoma uchumi pure no and walala nini lkn mfumo bado ulikua unanikataa, ingawa sasa hivi tayari imeshakubali...
Hizi ajira TPA zimekua kusanga sana, mimi mwenyewe nimesoma Uchumi na watu wa uchumi kwenye category za Planning Officer II tupo lkn kila nikiomba mfumo unanigomea
Wakuu mambo vipi? Hii changamoto moto ni kwangu tu au kwa wote. Nimekua nikihangaika kutuma maombi ajira za TPA (Planning Officer II) kupitia AJIRA PORTAL, kila nikijaribu mfumo unaniambia sina sifa. Nimejaribu mpaka ku-edit baadhi ya vitu lkn wapi bado inazingua, naombeni msaada kwa yeyote...
Wakuu mambo vipi? Naomba mwenye kufahamu anisaidie, hivi ile online portal ya TAESA bado iko active? Maana ni muda mrefu sana kila nikiingia kwenye site yao naona inagoma hasa kwenye kufanya registration.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.