Recent content by Canute Temu

  1. C

    Duu!! Div. Four hawatasoma ualimu.

    Uamuzi huu umecheleweshwa sana. Nania anapenda mtoto wake asomeshwe na mwalimu asiye mweledi? Mimi ningeshauriwanachuo wa kufunzwa Ualimu wachaguliwe kutokana na wale waliopasi daraja la kwanza na la pili tu! Kwanza kuna shida ya ajira, wachukuliwe wale wenye uwezo wa kujiendeleza. Wewe msomaji...
  2. C

    Tanzania to open Kiswahili teaching offices in foreign countries

    Nilikuwa Mkurugenzi wa Taasisi ya Uchunguzi wa Kiswahili kati ya 1981-82 [Kaimu] na 1982-85 Madaraka Kamili kwa kuteuliwa na Mkuu wa Chuo, Wakati Huo Rais Julius K Nyerere. Mojawapo ya kazi yangu ilikuwa kuandaa mambo kama haya. Nimefurahia kuwa matayarisho sasa yanaanza kuzaa matunda...
Back
Top Bottom