Jaman naombeni treni la odds 1000+ as long as wewe umeshalitia ata kwa mia au jero kumaanisha unaimani nalo japo kwambali naombeni wakuu nna mwezi sijabet leo angalau nataka niwekeze kwenye train la SportyBet
Nawasilisha wakuu🙏🙏
Kaka nimeona apo umelalamika nkachukulia poa ila ulivyo sema tu SportyBet ukanistua, how come SportyBet walete miyayusho? hitilafu zipo ila pia wana maua yao hawana janja janja kama za majkampuni ya vichochoroni
Nmeangalia apo mkeka wako hawajakudhulumu ni kweli umechanika, hyo option (any team...
Tupokeane tu jaman mbna kama notion ya vita automatically kwenye vichwa vyenu
Anyway watanzania ni wamoja naimani hatuko hivo💪🙌
Mawazo yangu inadepend na vitu viwili
1. Uchumi wa nyumban, kuna mtu anasubiriwa tu agraduate lifanyike jambo
2. Aina ya course, nashuka mtaa na degree ya Afya🚑...
OYA MNAUHAKIKA MECHI ZINACHEZWA KIHALALI HAZINUNULIWI NA MAKAMPUNI YA KUBETI??
MBONA BETTING IMEBADILIKA SANA SIKU HIZI??
KUNA WATU BADO WANABETIA MATRENI??
JE YANATIKI KAMA ZAMANI??
Daah saiv sjui nna mkosi kila nikidandia matreni ya watu ya odds kuanzia buku+ yana chana kuanzia timu 7 na kuendelea dadeq😤😤
Kama kuna mtu ambaye matreni yake yanaznguaga ata timu nne kushuka chini awe ananipatia zikichana timu nne kushuka chini ntakua namgea ata ya vocha wazee lost zimekua mingi🥶
msibishane sana jaman kama vipi kwa usalama wa wakamalia wote wa umu jf mikeka ipostiwe bila izo promo code 🙂🙂 mfano kama una mkeka we andika tu jina la kampun, code na idad ya odds
Mfano
C453GT -200 odds
SportyBet
Mmeongea habar za paka kutumia laki hadi nmecheka
Nakumbuka miaka kadhaa nyuma Bro alikuja home, hakuwa home kwa muda so akarudi na rafk ake sasa skuio wakapikiwa wali na samaki wakatengewa wali na samaki mkubwa uyoo sa ngap muda wa kunawa pale yule paka akarukia yule samaki akashuka nae mpka...
Daah mpaka najilaumu kwanin nlikosa stake za kuliweka hili tren mchongoko la mwamba apa lilikua na odds elf 82🔥 linakimbiza balaa mpaka sasa kachana city tu,
afu unakuta kuna kidaladala cha mwenge mawasiliano kina abiria 50 tu ila masaa mawili tu kishachana timu 7 hii weekend itengwe😅😂
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.