Recent content by canfi

  1. C

    Dalili za 'undugu' kati ya Yanga na Singida BS zimeonekana leo?

    Mbungi imepigwq sana leo. Top competitive football match. Timu zote zimeonesha kutaka ushindi. Inaweza kuwa mechi bora hata zaidi ya derby ya kariakoo msimu huu. Zile story za undygu nadhani leo hazina nafasi. Au wenzangu mmeona hizo dalili za undugu wa hizi timu?
  2. C

    Ahmed Ally ana gundu? Simba hawajabeba kombe tangu ajiunge nao

    Kilq msimu anatoka kapa
  3. C

    Ahmed Ally ana gundu? Simba hawajabeba kombe tangu ajiunge nao

    Jaman mtu huyu ana mikosi pale Simba
  4. C

    Iran imerusha makombora kwenye base za USA za Qatar na Iraq

    Mmmmh hamkosi cha kuitetea US/Israel
  5. C

    Iran imerusha makombora kwenye base za USA za Qatar na Iraq

    Unawapenda Israel kwa mahaba mazito sana
  6. C

    Kama Israel ana nguvu kubwa kwanini US kaingia vitani?

    Iran inatosha. Hakuhitajiki muungano wowote kuwapiga mashoga
  7. C

    Kama Israel ana nguvu kubwa kwanini US kaingia vitani?

    Andika vizuri wewe usiyeamini uwezo halisi wa Israel ambaye hata mateka wake anawapata kwa majadiliano
  8. C

    Kama Israel ana nguvu kubwa kwanini US kaingia vitani?

    Yeye mifumo yake ipoje, maana kila akishambuliwa anapigika kirahisi
  9. C

    Kama Israel ana nguvu kubwa kwanini US kaingia vitani?

    Hamas wamemshinda. Haiwezi Iran. Eti kuwapata mateka ni mpaka yafanyike majadiliano
  10. C

    Kama Israel ana nguvu kubwa kwanini US kaingia vitani?

    Mnadanganyana sana. Hoja ya kizamani kabisa
  11. C

    Kama Israel ana nguvu kubwa kwanini US kaingia vitani?

    Hao jamaa mnawasujudia sana. Uongo uongo tu
  12. C

    Kama Israel ana nguvu kubwa kwanini US kaingia vitani?

    Lkn mmezidi kuwasifia mashoga wa IDF
Back
Top Bottom