Atamm nimetuma Ila sijaona chochote nanimelipia hio 4000
Lakini nimejaribu kuiomba nirudishe voda wamesema wameizuia ebu nisubili nione
Lakini kunakampuni jingine la kopafasta Hilo nimepigwa 100000 Sasa hivi punde
Hivi naomba kujua nahawa kopa fasta nimatapeli?
Sababu nilimelipia ada 49500
Nikaambiwa nilipie yamdhamana 50,000 nikalipia lakini unaambiwa dakika 30 Sasa hivi yamepita masaa 3 sioni kitu aisee
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.