Mara kumi ata awa wa msalaba lakini sio nyie Romani katoric Kusujudu mbele ya masanamu inasikititsha sana ata kujiongeza amtaki mumeng’ang’ania apo apo tu sijui mumenyweshwa kitu gani kusoma hamjui ata picha nayo !!!🙏 napita tu
Ok ni Sawa #sweetcandy umenambia vizuri sana akini Mimi Kama naweza kuishi maisha ya haina yoyote Ile Kwangu Mimi udini si ishu kwani siamini katika yesu wala siamini katika mohammed naamini katika mungu pekee yeye ndo mwongozo wa maisha yangu na sio mwanadamu nitakwenda na Nitaishi Mimi sifati...
WASOMI ni watu walio sitarabika WASOMI awa andiki andiki upuuzi
Mkono wa mjinga unaandika popote pale ndo walivo wasomi wa bongo mumekosa kazi basi kazi kuwa kucoment ujinga ujinga tu kwenye thead za watu wewe Kama unaona mtu kaandika ujinga wake soma Maliza pita kushoto muache aliye andika...
Bana weeeeee maisha popote utakapohisi unaweza kuishi na maisha yakaenda pasipo kumbugudhi mtu yoyote ruksa dunia yote yetu na ndo mana tumepewa na miguu tusigande seehemu moja uchumi tu wa mifukoni ndo inatufanya tusindwe kuruka ughaibuni akini isingekuwa izi sheria za mwanadamu kuziweka bongo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.