Na kweli msela hana statistics.. ukweli ni kwamba sisi watanganyika maana sipendi kujiita wa bara tunapenda sana muungano uvunjike.. kwa hiyo vijana wa zanzibar endeleeni hivyo hivyo yani big up... good job.... ila acheni kuchoma makanisa.
Truly, not all states are equal when viewed on an economic or political paradigm. But the solutions lie in addressing the weakness collectively rather than individually or in wasting time on self-defeating excuses therefore we should look ahead to the vast opportunities that an East African...
Napingana na waandishi wa magazeti wanaodai kwamba wataalam wenye shahada za kujadili mikataba yenye kuleta manufaa kwa taifa wapo. Ukweli ni kwamba hawapo kwa kusema kwamba rushwa ndiyo tatizo sio sahihi.
Ukilizungumzia suhala la rushwa kuwa ndio mzizi wa matatizo napingana na wewe kama...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.