Recent content by Cally30

  1. Cally30

    Waasisi wa neno uzalendo ni watawala

    UZALENDO unagusa maslahi ya wonyonge tu
  2. Cally30

    Waasisi wa neno uzalendo ni watawala

    Kivuli cha neno UZALENDO kinaangazia zaidi watu masikini, huku kikiwapa watawala fursa ya kujineemesha. Madaktari, Walimu na watumishi wengine wa umma na sekta binafsi mfano wakulima wakibebeshwa msalaba wa uzaledo. Hakuna mtawala anayeshiriki ktk kuubeba msalaba UZALENDO. Fikra na AKILI zao...
  3. Cally30

    SoC02 Ndoa yangu "Isininyanyase"

    Kiasili WANAUME sio watu wa KULIALIA.Wanavumilia manyanyaso mengi sana ndani ya ndoa.Na hapo ndio tatizo linapoanzia.Ombi langu kwa kina DADA,,kama umeona fursa nyingine kwingineko ondoka mapema na sio kuwa mtaka VYOTE.
  4. Cally30

    SoC02 Wajasiriamali wadogo (wamachinga) wanaathiri maendeleo

    Amani ya Mungu iwe nanyi. Katika kipindi cha miaka mitano hadi sita iliyopita nimeshudia wajasiriamali wadogo( machinga)wakifanya biashara zao maeneo yasiyo rasmi. Baadhi yetu kama wateja limekuwa ni jambo la kufurahisha sana.Kama sio nje ya ofisi, kanisani, msikitini ama shuleni kwako basi...
  5. Cally30

    SoC02 Jicho la Wataalamu wa Elimu katika Mtaala wa Elimu

    Hongera kwa andiko zuri.Aya hii niliyoinukuu binafsi kama mdau wa elimu sioni kama ni kichekesho.Mtoto kabda hajatembea lazima aanze kutambaa.Tuna mengi ya kujifunza kwa waliotutangulia ili kuwa bora zaidi ikizingatiwa kuwa tofauti za kimazingira na huko duniani sio kubwa sana .Asante
Back
Top Bottom