Recent content by cage_tz

  1. C

    Mchepuko unakaribia kuvunja ndoa yangu

    Kula bata kwa hawala , familia yako na watoto ndio kila kitu ,
  2. C

    Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

    Kaka swala la silaha ni la ndani, hujaona kesi mtoto anakutwa na silaha ya baba na anafanya nayo tukio, hayo ni mambo ya ndani sana, mke ni mtu wa karibu sana kuwa na silaha yako kulingana na tukio ana haki kisheria kutumia silaha yako kuokoa uhai wa mtu. Hii hata mahakamani anashinda kama...
  3. C

    Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

    Labda nijaribu kumsaidia mtoa mada sikuwepo eneo la tukio lakini nipo sana jirani na tukio lilipotokea na majirani walinipa dodoso ingawa sikufika, 1. Baba mwenye nyumba hakuwepo nyumbani alikuwa amesafiri siku ya tukio ni mama na kijana wa kazi walikuwepo nyumbani unajua wakina mama...
  4. C

    Mbwa jamii ya Rottweiller waua mwangalizi wao Dar

    Hawa mbwa ni hatari kuliko maelezo ....hili tukio lilitokea karibu kabisa na nyumbani kwangu sikulala usiku huo nilianza kusikia milio ya risasi kuanzia saa 7 mpaka saa 9 usiku ya aina mbalimbali ya bunduki nikajua ni majibishano ya risasi ya polisi na majambazi kumbe ni majirani waliojitolea...
Back
Top Bottom