Recent content by cadet

  1. C

    JamiiForums Tanzania Je Wanafunzi walio omba mkopo wa kujiendeleza na elimu ya juu lakini walisoma shule binafsi je wanaweza pata mkopo

    Wana JF naombeni kujuzwa nina ndugu yangu ameomba mkopo wa kujiendeleza na elimu wakati selection ya kwanza inatoka account yake ilikuwa inaleta ( your application has been submited successful ). Then selection 2 inatoka account ya dogo ikachange kuenda SIPA lakin kila tukijalibu kuangalia...
  2. C

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa Kata ya Kalobe jijini Mbeya walalamikia uwanja wao wa mazoezi kutumika kama barabara

    Diwani wa kata yao mwenyewe anakuambia tutaangalia tufanyaje na wamesha pewa solution hapo
  3. C

    JamiiForums Tanzania KERO Vijana wa Kata ya Kalobe jijini Mbeya walalamikia uwanja wao wa mazoezi kutumika kama barabara

    Vijana wa kata ya kalobe wamejikuta katika hali ya mshangao baada ya uwanja wao wa mazoezi kufanywa njia mbadala ya kupitia magari na vyombo vingine. Hali hii imewafanya vijana awa kushindwa kufanya mazoezi katika eneo lao la kila siku kwa kuofia afya zao. Baada ya kutokea kwa jambo hilo vijana...
Back
Top Bottom