Samahani mimi niliota nimekaa kwenye kochi sebleni...nkamuona nyoka mweusi mkubwa mnene karibu na mlango..yeye hakuniona na wala hakushtuka ila mimi nilivyomuona nikakimbia kwa woga...nikashtuka..hii nayo mana yake ni nini?
Samahani nipo nje ya mada...hivi ukikaa ukafuatilia vizuri tumepumbazwa sana fikra zetu na wageni...yani ujuzi wetu sisi wanauita ushirikina...halaf ujuzi wao wanauita sayansi....think about thaaaat broh
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.