Recent content by cacamura

  1. C

    2011 Subaru Forester SHJ - Subaru Mayai - ukitaka isikusumbue fanya hivi

    Mkuu unakosa raha kwanini, ww nunua za mwaka 2020 sisi wa lala hoi tutanunua hizo za 2011 kwani tatizo liko wapi sheikh. And still watu wanaagiza ist za 2004 hujiulizi🥱
  2. C

    Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Ah kumbe kumbe afroil wanatoa mafuta safi, bas ipo mana nilidhan ni total na puma pekee
  3. C

    Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Nakukubari kaka, vp kwa upande wa mafuta nackia kwa sher zetu za huku mikoani zinapelekea sana kuua engene kwasabab inahitaj mafuta masafi ( high octane ) ni kweli? Na kama ni kwel ni njia gan ya kuilinda engene kwa huku mikoani ambapo total na puma hawapo
  4. C

    Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Pia muda wa kubadiri tyming belt ni kuda gan and gharama zake kama una idea nayo
  5. C

    Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Nausubiri kwa hamu sana huu uchambuzi mkuu, pia nilisikia unaweza fanya convention kutoka tearing ya umeme ukaweka hydrologic kwenye non turbo ni kweli? Pia nasikia ej20 non turbo zinaua sana head gasket. Ni nin sababu?!
  6. C

    Subaru forester SJ5 / FB20 ni mgonjwa wa kansa anayetembea barabarani

    Naomba elimu juu ya hiyo xt ambao unayo na non turbo ej20. Na unashauli ipi itanifaa kutoka kwenye rumion 2010 2ZR-FAE, valve matic technology
  7. C

    KERO Watumishi wa afya Babati tunahamishwa kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho

    😀😀😀😀...... Nashukuru sikuajiriwaga halimashauri
  8. C

    KERO Watumishi wa afya Babati tunahamishwa kwa kushtukizwa lakini hatupewi stahiki zetu za uhamisho

    Mimi bila ela siwez hama kamwe, na hakuna wakuniamisha labda mh rais
  9. C

    JE WAJUA NI MUDA GANI UNAPASWA KUBADILI OIL FILTER YA GARI YAKO?

    Hii imewatesa sana watu wa dual, nissan sio unafunga plugs yeyote tu ile , kuna muda unaweza ujahis ni gear box imekufa kumbe shida ni plugs sio za hyo engene
  10. C

    JE WAJUA NI MUDA GANI UNAPASWA KUBADILI OIL FILTER YA GARI YAKO?

    Kubadiriaha plugs sio shida, shida ni plugs ni recommended kwa hyo engene?
  11. C

    Toyota crown

    Mafuta sio inshu kwangu
Back
Top Bottom