Mkuu unakosa raha kwanini, ww nunua za mwaka 2020 sisi wa lala hoi tutanunua hizo za 2011 kwani tatizo liko wapi sheikh. And still watu wanaagiza ist za 2004 hujiulizi🥱
Nakukubari kaka, vp kwa upande wa mafuta nackia kwa sher zetu za huku mikoani zinapelekea sana kuua engene kwasabab inahitaj mafuta masafi ( high octane ) ni kweli? Na kama ni kwel ni njia gan ya kuilinda engene kwa huku mikoani ambapo total na puma hawapo
Nausubiri kwa hamu sana huu uchambuzi mkuu, pia nilisikia unaweza fanya convention kutoka tearing ya umeme ukaweka hydrologic kwenye non turbo ni kweli? Pia nasikia ej20 non turbo zinaua sana head gasket. Ni nin sababu?!
Hii imewatesa sana watu wa dual, nissan sio unafunga plugs yeyote tu ile , kuna muda unaweza ujahis ni gear box imekufa kumbe shida ni plugs sio za hyo engene
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.