Napenda nifufue hii mada kwa kuuliza swali jinsi gan Tanzania mainland na Zanzibar wanavyokusanya VAT.
Ukiingiza mzigo kupitia bandari ya Dsm tunalipa VAT, mteja akija kutoka Zanzibar nikimuuzia mzigo nae akifika bandari ya Zanzibar anachajiwa tena VAT hii imekaaje,
Tunafanyaje hapo ili...
Nime import bidhaa na nimechajiwa VAT bandarini ila wateja wangu wa Zanzibar wakitaka ingiza mzigo zanzibar wanachajiwa tena VAT,
Nitumie document gani, ili wakionuesha wasichajiwe tena VAT??
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.