Samia anaungwa mkono na Watanzania wote kwasabu
1. Amepandisha madaraja na kuongeza mishahara Watumishi ambao walikaa miaka 7 bila daraja Wala nyongeza
2. Aliondoa VRF ya HESLB
3. AMEONGEZA AJIRA, Samia anaajir tuwe wakweli
4. Ameweka mifumo ya kiutumishi ambayo imeondoa urasmu kwenye kuhama na...
Samia anaungwa mkono na Watanzania wote kwasabu
1. Amepandisha madaraja na kuongeza mishahara Watumishi ambao walikaa miaka 7 bila daraja Wala nyongeza
2. Aliondoa VRF ya HESLB
3. AMEONGEZA AJIRA, Samia anaajir tuwe wakweli
4. Ameweka mifumo ya kiutumishi ambayo imeondoa urasmu kwenye kuhama na...
Mbowe for life..ujinga mtupu hata Zitto kabwe mlituaminisha kwa mashair ya kichovu kama haya...
Unakumbuka sakata la akina kitila mkubo ,Habibu MChange na Juliana Shonza ,ulivyokuwa unaadika uharo kama huu?
Mwisho wenu umefika now ni zam ya Lissu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.