Huyu mtu ana uwezo mkubwa sana ki akili na na vilevle ana busara si za kawaida, nafikiri kwa kupata ubunge atasaidia watu wengi sana, huko Mbeya, Bungeni, serikalini hata Nchi nzima , lazima tukumbuke bila wazee wenye vipaji na busara nzito kama za huu mzee tunaweza kupoteza mengi.