Recent content by BxAarfa

  1. B

    Mikoa sita (6) kapuni uteuzi wa baraza la mawaziri

    Boya mkubwa wewe .Mungu atakulaani wewe huwezi kulaani watu kwa ushabiki maandazi wako kilaza wewe. Sumaye aliamin upinzani hakuna wanaofaa ndio sababu kaja kuwasaidia huko nasisi tunamuita Mr. Zero. Hivi ukitaja Waziri unaweza kumteua majembe yenu Lema na Msigwa?
  2. B

    Kikwete achia uenyekiti kwani ulishindwa kuiongoza Serikali na CCM pia ilikushinda

    Wewe boya wa kizenji usizingue hujawahi kuwa ccm cuf kojo wewe
  3. B

    Tanzia: kifo cha Sheha wa Ole Mussa Mashati (CCM)

    Watu waongo sana Wallah sijui kwanini hayo masharti umeyatolea wapi? Na kama watu kukosa vitambulisho mbona ni wengi tu tunakosa hata mm nmekosa mara hii kupiga znz. sisi sheha anafanya hadi baadhi ya kaz ambazo zilipaswa kufanywa na mwakilishi acheni huo ujinga
  4. B

    Uchaguzi wa kura za maoni CCM, wabunge na madiwani kesho tarehe 1/8/2015 ndio mwisho wa CCM

    Kwan Ccm imehama watu wangapi mpaka sasa na stil bado ipo? Kwa hio munataka kuwapangia ccm namna ya kuchagua wawakilishi wao au sio? Sasa kama kweli munataka ivurugike si mungeacha kimya but hivo kuongea ongea ni kuonesha kwenu kuumizwa kichwa sababu mulihisi kuna mambo ccm haiwezi kufanya...
  5. B

    Nani anafaa kuwa rais wa Tanzania 2015?

    and am sure wewe hujatahiriwa kijana. Unaongea kama unatolea haja mdomon mshenzi mkubwa wewe!!!
  6. B

    Bajeti ya wizara ya Kilimo yapitishwa na wabunge 28 tu!

    Usiwe na kichwa chenye uwezo wa kubeba nywele pekee basi. CCM wabunge wake karibia wote wapo Dodoma sababu ni wajumbe wa mkutano mkuu pia.
  7. B

    Meya wa Ilala unajivunia nini kwenye uongozi wako?

    hehehe ilala ikiwa ya ovyo hio Ubungo na Kawe ni za kisasa ama? Katika sehem zisizo na matatizo basi ilala ni moja.
  8. B

    Meya wa Ilala unajivunia nini kwenye uongozi wako?

    La kwanza Barabara za mitaa ya Bungoni kuwekwa lami. kwa kumsaidia tu huyo ndugu
  9. B

    Picha: Rais Kikwete atembelea Tegeta na Mkwajuni kujionea Athari za Mafuriko

    Kenya jiran tu hapo nao wameshapata mafuriko Huko Marekan mafuriko yanatokea sasa usianze kukufuru bure
  10. B

    CCM Zanzibar mkate wenu umeshajaa sisimizi, fumbeni macho muumezu tu

    hapo ktk ardhi usimsahau mansour ambae alikuwa waziri wa ardhi. Na alishaandikwa na magazeti mpaka yakafungiwa ila ndio stering wenu sahiv. Na kuhusu ubaguzi haukuondolewa na mapinduzi. Jiulize kwann watu waliacha kuja pemba kusoma fidel castro?
  11. B

    Kwa Hili la Salum Mwalimu, CUF Inastahili Pongezi ni Mwanzo Mzuri wa Reality ya UKAWA!.

    Hehehe siasa za Zanzibar hamuzijui kabisa hilo jimbo hapi ni ngome ya CCM angalia matokeo ya 2010 utajua sbbu ya cuf kulitoa hilo jimbo na fuatilia.ni watu gani wanaishi hapo
  12. B

    Salum Mwalimu Kugombea ubunge Zanzibar kwa tiketi ya CHADEMA

    Hio ni ngome ya CCM Zanzibar
  13. B

    Salum Mwalimu Kugombea ubunge Zanzibar kwa tiketi ya CHADEMA

    Hilo jimbo Mwakilishi na Mbunge wote wanatoka CCM. Namaanisha hio ni ngome ya CCM kwa Mjini Magharibi
  14. B

    Salum Mwalimu Kugombea ubunge Zanzibar kwa tiketi ya CHADEMA

    Hehehe sasa cuf mulisikia wazembe sio hawajui utamu wa ruzuku hilo jimbo ni ngome ya ccm.mjini magharibi sasa wangempa pemba afadhali ila hapo wamepitisha tu ukawa muendelee kuchezeana sarakasi!
  15. B

    Kwanini sherehe za muungano huwa hazifanyiki Zanzibar?

    Mbona sisi Wapemba hakuna hata sherehe moja kwa awamu hii ilofanyika kwa Zanzibar shrehe zote zimeishia Unguja? Musitake kuwapa watu iman mbaya bure
Back
Top Bottom