Mkuu wala usipate shida,ukienda pale goms kituoni kuna duka moja la asali,asali yao ni nzuri sana haina longolongo ya kuchakachuliwa,niliona wana kibali cha hao maliasili pia nadhani watakuwa wanawafahamu,nenda kanunue pale mkuu!
Nauza portable refractometer kwa wale wanaonunua asali,ni kipimo cha asali kinachokuonyesha ubora wa asali kwa kufahami kiwango cha maji na sukari iliyomo ndani ya asali.
Karibuni sana 0687-220214
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.