Recent content by Bwe

  1. B

    Ulishawahi kununua asali kwenye duka la serikali? Uliwezaje?

    Mkuu wala usipate shida,ukienda pale goms kituoni kuna duka moja la asali,asali yao ni nzuri sana haina longolongo ya kuchakachuliwa,niliona wana kibali cha hao maliasili pia nadhani watakuwa wanawafahamu,nenda kanunue pale mkuu!
  2. B

    Biashara ya Asali mbichi, faida na changamoto zake

    Nauza portable refractometer kwa wale wanaonunua asali,ni kipimo cha asali kinachokuonyesha ubora wa asali kwa kufahami kiwango cha maji na sukari iliyomo ndani ya asali. Karibuni sana 0687-220214
  3. B

    Kwa mwenye kufahamu bei ya asali kwa Jumla Lita 20 inaweza fika kiasi gani?

    Sorry,kama bado unanunua asali mimi ninayo kama lita 500 hivi,tafadhali tuwasiliane 0759208408
Back
Top Bottom