Madaktari wako sawa 200%
1. Call allowance ya Daktari ni Tsh 10,000 wakati maafisa wengine wa serikali hujilipa posho nono
2. Kazi ya daktari ni yeye na mgonjwa hakuna safari kama kada nyingine za serikali na NGO
3. It is risk kumuhudumia mgonjwa wa Ukimwi, TB, Shurua na mengine mengi...
Nakubaliana nawe ndg Gaijin, gharama alizotumia Kafulila mpaka hapo ni kubwa halafu pamoja na gharama za uchaguzi mbunge akifika bungeni huigharimu tena nchi hasa wabunge wapya
Ndugu hili litamuumiza kila anayeishi humu nchini kwa sababu halitokei directly ila indirectly kwenye huduma na mahitaji ya jamii. Kila utakachofanya kitakachohusu pesa ujue kuna % unalipia. Wachumi wanaelewa zaidi.
Taarifa ya kufukuzwa kwa Kafulila itakuwa imepokelewa katika namna na mitazamo tofauti kulingana na utofauti uliopo miongoni mwa wanajamii hasa kisiasa. Pamoja na utofauti huo ukweli utabaki palepale kuwa uamuzi huo uliofanywa na watu wachache wenye dhamana katika chama kusika unaathali kubwa si...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.