Recent content by buzitata

  1. buzitata

    JamiiForums Tanzania Watu wote mnaomuamini Mungu mje, nina swali kwenu 😢

    JIbu lako lipo kwenye maswali yangu 1.kwenye huu ulimwengu je ni binadamu peke yake mwenye akili ya kiwango cha juu? Kama ni ndio naomba uthibitisho 2. Ikiwa wewe unaweza kuunda vitu kwa kutumia kanuni fulani, je hakuna mwingine mwenye uwezo wa kuunda vitu fulani kwa kanuni zake zilizo ndani...
  2. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Wewe na kiranga hamna tofauti, unatoa hoja zako na fact nyingi kuonesha mungu yupo halafu mkikaribia kufunga mada anakurudisha nyuma tena kwa swali lile lile dhibitisha uwepo wa mungu
  3. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Hawajaondoka kwa tafsiri yako Mfumo wa uuzaji wa bidhaa ulikuwa wa kinyonyaji, walikua wanaimport bidhaa cheap na kujipatia faida kubwa, sasa ivi soko limebadilika watu wanaleta kile jamii inataka kwa gharama nafuu tofauti na zamani Nadhani utakuwa umenielewa
  4. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    UNaposema tatizo ni jamii nashindwa kuelewa ni jamii gani hiyo? Serikali imeweka kodi nying za indirect hivyo hakuna mtu ambaye halipi kodi 100% Kama wananchi wanalipa kodi je hizo fedha zinaenda wapi. Bungeni bajeti zinasomwa vizur na hela zinagawanywa vizr ila kwenye utekelezaji wa viongoz...
  5. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Mkuu ili serikali ilete maendeleo ni lazima kiongozi mkuu awe mfumo unaojitegemea sio mualikwa wa mfumo fulani ambao watamtumia bila yeye kujua kama anatumika NB: haya hayahusiani na mambo ya sasa ni kitu ambacho hata serikali hii ikitoka bila kuondokana na mifumo isiyo ya kizalendo mambo...
  6. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Unajizima data kijana Lini wananchi wamewahi kuuweka utawala wanaoutaka na wakafanikiwa kufanya hayo mabadiliko? Mfumo ndio unaamua rais aendelee kulamba miaka kumi au mitano ama zaidi ya hapo Wewe upo kwenye mfumo dhaifu kelele zako haziwezi kuyumbisha kundi mfumo ambalo lina nguvu...
  7. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    KWanza kabisa inatakiwa uelewe tafsiri yangu ya neno mfumo inaweza kutofautiana na vile wewe unavyotafsiri hata pia watu wengine wanavyotafsiri Kwangu mimi mfumo ni kundi la watu, yapo makundi dhaifu pia yapo makundi yenye nguvu Makundi yenye nguvu ndio yanayoleta athari kubwa kwa makundi...
  8. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Wazungu wanaakili sana hasa wakikutana na mtu mwenye boga kichwani kama wewe Ni mpumbavu pekee atakayekubali kuuza rasilimali zake kwa wino na kuendelea kuuheshimu wino Angalia hao wanaojifanya wanatusainisha mikataba pale wakiona mkataba unaenda kinyume wanachukua hatua gani Mikataba...
  9. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Kwaiyo na wewe unataka kunipeleka kwenye mtego gani? Mm natambua mfumo ndio mbovu na matokeo tuliyaona kwa magu plae ambapo alienda kinyume na mfumo alifanikiwa kuleta maendelea ya haraka sana Elewa neno mfumo kwanza Hata ccm ikitoka madarakani leo hii na kuingia chama kingine usitegemee...
  10. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Kwaiyo na wewe unataka kunipeleka kwenye mtego gani? Mm natambua mfumo ndio mbovu na matokeo tuliyaona kwa magu plae ambapo alienda kinyume na mfumo alifanikiwa kuleta maendelea ya haraka sana Elewa neno mfumo kwanza Hata ccm ikitoka madarakani leo hii na kuingia chama kingine usitegemee...
  11. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Kijana naona huijui nchi yako vizuri Wapo wengi wamewahi kutikisa kwenye siasa lakini tukiwaangalia leo hiii sio wale tena.. mbowe,msigwa,zito,dr slaa na wengineo wengi Tatizo la nchi yetu sio ccm kaa ukijua hilo hata tukimuweka huyo lisu madarakani usitegemee maajabu atafanya yaleyale tu...
  12. buzitata

    JamiiForums Tanzania Kama Tundu Lisu atakufa na Msimamo wake. Atakuwa ndiye mtanzania shujaa wa muda wote Akifuatiwa na Magufuli. Hao watu hakuna anayesogea Kwa ukaribu

    Usipende kumlinganisha magufuli na huyo mjelajela wako Mjelajela si ndo yule aliwastua jamaa wa makinikia kwamba waende mahakani kesi yao watashinda? The rest andunje akaona this is too much huwezi kuwa upande wa adui zetu ni lazima upewe adhabi ya kumwajiwa maharage.( kumbuka kipindi kile magu...
  13. buzitata

    JamiiForums Tanzania Matamko/maazimio ya USA na EU yamesaidia nini wapinzani Afrika?

    Mpe mtu maua yake akiwa hai...sifa asizoziskia mtu akiwa hai huo unakuwa ni unafki
  14. buzitata

    JamiiForums Tanzania Matamko/maazimio ya USA na EU yamesaidia nini wapinzani Afrika?

    Mpe mtu maua yake akiwa hai...sifa asizoziskia mtu akiwa hai huo unakuwa ni unafki
  15. buzitata

    JamiiForums Tanzania Matamko/maazimio ya USA na EU yamesaidia nini wapinzani Afrika?

    Yericko nyerere wewe ulikuwa ni miongoni mwa watu ambao nilikuwa nawafatilia kwa kiwango kikubwa.. zamani nilikuwa siachi hata nukta kwenye machapisho yako ila siku za hivi karibuni nikiona chapisho lako nalipita bila kusoma kilichomo ndani Siasa zako za ndani zimeshusha brand yako kwa kiwango...
Back
Top Bottom