Recent content by buzitata

  1. buzitata

    Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Haya mambo saiv watu watatupa sababu za kibaiolojia kwamba sijui wamepewa chakula gani ila ipo siku bomu litalipuka tu
  2. buzitata

    Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Kwaiyo wewe unahisi ipo hepatits B peke yake? Sijaweka A,B,C kwasababu maalum(halafu usipende kunichezesha ngoma unayoitaka wewe hapa mada ni ini lililoathirika kwa pombe na vyakula huko kwenye gonjwa linalosababishwa na zinaa mimi sipo)
  3. buzitata

    Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Hizo ni hepatitus na haipo moja kwenye mambo ya ini
  4. buzitata

    Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Bila shaka kama umesoma vizuri uzi wangu nimesema kuna kundi la wanywa pombe kali pamoja na ambao wanapata magonjwa kutokana na aina ya vyakula tunavyokula Halafu unaposema kukosa elimu unakosea sana yawezekana wewe ndio hujui, hapo kwa upande wa watu wenye uraibu nimemaanisha alchol hepatitus...
  5. buzitata

    Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Ahsante kwa kunisahihisha, hata nguruwe kulishwa ARV ni matango pori tunamezeshwa sio
  6. buzitata

    Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Kwenye hiyo list ndefu ndipo nilipomaanisha mimi Mamlaka zimelala fofo zinasubiri tukio litokee halafu wapate kiki ya kuja mjini
  7. buzitata

    Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Ni kweli ila hili la figo na maini kwa nchi yetu hatuna uwezo wa kutibu wagonjwa hasa watu wenye kipato kidogo huko kuna misiba mingi
  8. buzitata

    Ni nani atafanikiwa kumfunga paka kengele ili tusiangamie wote?

    Habarini kwa kipindi kirefu nimejaribu kufuatilia hali ya ndani ya nchi yetu hasa suala zima la afya pamoja na kukithiri kwa rushwa ila nimejikuta nikipata hofu kubwa juu ya nini kitafuata kwa kila mwanajamii tusipolitatua tatizo hili kabla hali haijawa mbaya zaidi Kwa kipindi cha hivi...
  9. buzitata

    Wafikishwa mahakamani kwa kudaiwa kutoa taarifa za uongo kuwa wameibiwa nyeti

    Bila shaka kuna watu wanasukuma kete kupima ama kujaribu kuileta jamii pamoja kupitia hofu ya kupikwa Hilo lilianzia nchi jirani naona lilileta matokeo mazuri sio mbaya likatumika na hapa kwetu ili mioyo ya watu ipunguze machungu na kupisha maisha yaendelee
  10. buzitata

    Ufafanuzi wa Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu

    Mkuu, nimeona umeingia deep sana kwenye hoja, hilo ni jambo zuri. Lakini bado kuna maeneo unachanganya uhakika wa historia na uhakika wa tafsiri, ambayo si kitu kilekile. Nitaenda point kwa point kifupi: 1. Sensa ya Quirinius Nakubaliana na wewe kuwa neno πρώτη (prōtē) kwa kawaida lina maana ya...
  11. buzitata

    Ufafanuzi wa Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu

    Mkuu, hoja zako zinaonekana nyingi lakini ukweli ni kwamba nyingi zinategemea assumption + argument from silence, si ushahidi thabiti wa kupinga maandiko. Hebu niweke sawa moja kwa moja: 1. Sensa ya Quirinius Unachofanya hapa ni kuchukua tafsiri moja tu ya Injili ya Luka 2:2 kisha unai-force...
  12. buzitata

    Ufafanuzi wa Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu

    Joachim na Anna hawapo kwenye Biblia, wanatoka kwenye mapokeo ya nje kama Protoevangelium of James. Kuhusu Eli kwenye Injili ya Luka, ni kweli leo ni ngumu kuthibitisha kwa usahihi maana halisi kwa sababu ya umbali wa kihistoria. Hata hivyo, Luka mwenyewe anaeleza kuwa alifanya uchunguzi kutoka...
  13. buzitata

    Ufafanuzi wa Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu

    Nashukuru kwa maelezo yako Ila naomba nikuache na mfano na hoja ndogo Kwanza kabisa jua uandishi na utunzaji wa kumbukumbu wa zamani ni tofauti sana na uliopo sasa KAma kumbkumbu zisipotunzwa vizuri baada ya miaka 500 utaibuka mjadala mzito sana kati ya jakaya kikwete na mrisho kikwete ni...
  14. buzitata

    Ufafanuzi wa Kujadiliana na watu wasioamini uwepo wa Mungu

    bila shaka nitakuwa nimeeleweka, halafu inatakiwa utambue luka hakujifunga na torati ndio maana fafanuzi zake nyingi ni za kiroho Anyway weka huo utata nitakujibu kulingana na vile ninafahamu
Back
Top Bottom