Kwaiyo wewe unahisi ipo hepatits B peke yake? Sijaweka A,B,C kwasababu maalum(halafu usipende kunichezesha ngoma unayoitaka wewe hapa mada ni ini lililoathirika kwa pombe na vyakula huko kwenye gonjwa linalosababishwa na zinaa mimi sipo)
Bila shaka kama umesoma vizuri uzi wangu nimesema kuna kundi la wanywa pombe kali pamoja na ambao wanapata magonjwa kutokana na aina ya vyakula tunavyokula
Halafu unaposema kukosa elimu unakosea sana yawezekana wewe ndio hujui, hapo kwa upande wa watu wenye uraibu nimemaanisha alchol hepatitus...
Habarini
kwa kipindi kirefu nimejaribu kufuatilia hali ya ndani ya nchi yetu hasa suala zima la afya pamoja na kukithiri kwa rushwa ila nimejikuta nikipata hofu kubwa juu ya nini kitafuata kwa kila mwanajamii tusipolitatua tatizo hili kabla hali haijawa mbaya zaidi
Kwa kipindi cha hivi...
Bila shaka kuna watu wanasukuma kete kupima ama kujaribu kuileta jamii pamoja kupitia hofu ya kupikwa
Hilo lilianzia nchi jirani naona lilileta matokeo mazuri sio mbaya likatumika na hapa kwetu ili mioyo ya watu ipunguze machungu na kupisha maisha yaendelee
Mkuu, nimeona umeingia deep sana kwenye hoja, hilo ni jambo zuri. Lakini bado kuna maeneo unachanganya uhakika wa historia na uhakika wa tafsiri, ambayo si kitu kilekile. Nitaenda point kwa point kifupi:
1. Sensa ya Quirinius
Nakubaliana na wewe kuwa neno πρώτη (prōtē) kwa kawaida lina maana ya...
Mkuu, hoja zako zinaonekana nyingi lakini ukweli ni kwamba nyingi zinategemea assumption + argument from silence, si ushahidi thabiti wa kupinga maandiko. Hebu niweke sawa moja kwa moja:
1. Sensa ya Quirinius
Unachofanya hapa ni kuchukua tafsiri moja tu ya Injili ya Luka 2:2 kisha unai-force...
Joachim na Anna hawapo kwenye Biblia, wanatoka kwenye mapokeo ya nje kama Protoevangelium of James.
Kuhusu Eli kwenye Injili ya Luka, ni kweli leo ni ngumu kuthibitisha kwa usahihi maana halisi kwa sababu ya umbali wa kihistoria.
Hata hivyo, Luka mwenyewe anaeleza kuwa alifanya uchunguzi kutoka...
Nashukuru kwa maelezo yako
Ila naomba nikuache na mfano na hoja ndogo
Kwanza kabisa jua uandishi na utunzaji wa kumbukumbu wa zamani ni tofauti sana na uliopo sasa
KAma kumbkumbu zisipotunzwa vizuri baada ya miaka 500 utaibuka mjadala mzito sana kati ya jakaya kikwete na mrisho kikwete ni...
bila shaka nitakuwa nimeeleweka, halafu inatakiwa utambue luka hakujifunga na torati ndio maana fafanuzi zake nyingi ni za kiroho
Anyway weka huo utata nitakujibu kulingana na vile ninafahamu
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.