Habari za asubuhi wakuu .. kuna ndugu yangu anatafuta bajaji ya mkataba au hata ya kupeleka hesabu kwa siku
1. Anayo leseni ya udereva
2. Ni mwadilifu pia ni mcheshi
3. Ni mchapa kaz muda wote
Boss wa bajaji au gari ya bolt nakuhakikishia hutojutia endapo utampa kazi ndugu yangu, kiumri ni...
Wakuu wanajamii forum kuna ndugu yangu anatafuta kibarua cha udereva wa delivry iwe ofisini kwenye restorant au kwenye maduka anafanya ...
Anajua kutumia chombo cha moto vizuri pikipiki na gari pia na analeseni ya udereva...
Kama kuna mtu yoyote atamuhitaji basi awasiliane na mimi pm ..
Habari wakuu nishawahi kutoa uzi wa kutafuta ajira but wengi mlinipa ushaur wa kujiajiri mimi mwenyewe. so nimerudi tena kwa wale ambao wanahitaji vitu kutoka amazon au kutoka china kua naagizisha mzigo kutoka sehem hizo na utakua unauona kiganjani mwako mpaka unakufikia ulipo ...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.