Recent content by bushoke wa dar

  1. bushoke wa dar

    Tunatafuta bajaji ya mkataba au hata ya kupeleka hesabu kwa siku

    Habari za asubuhi wakuu .. kuna ndugu yangu anatafuta bajaji ya mkataba au hata ya kupeleka hesabu kwa siku 1. Anayo leseni ya udereva 2. Ni mwadilifu pia ni mcheshi 3. Ni mchapa kaz muda wote Boss wa bajaji au gari ya bolt nakuhakikishia hutojutia endapo utampa kazi ndugu yangu, kiumri ni...
  2. bushoke wa dar

    Dereva wa delivery anapatina

    Wakuu wanajamii forum kuna ndugu yangu anatafuta kibarua cha udereva wa delivry iwe ofisini kwenye restorant au kwenye maduka anafanya ... Anajua kutumia chombo cha moto vizuri pikipiki na gari pia na analeseni ya udereva... Kama kuna mtu yoyote atamuhitaji basi awasiliane na mimi pm ..
  3. bushoke wa dar

    Wauzaji wa suruali za vitambaa(boss na kampuni zingine)

    Unahitaji ngapi mkuu me nnazo ni mpya karibia pc 40 hivi
  4. bushoke wa dar

    Nafasi ya kazi duka la skin care and body care

    mkuu kama huna utaalam wa skin care but kwenye mauzo na kupromote bidhaa niko vizur naweza kuomba kazi hii
  5. bushoke wa dar

    Naagiza vitu kutoka Amazon na China

    Habari wakuu nishawahi kutoa uzi wa kutafuta ajira but wengi mlinipa ushaur wa kujiajiri mimi mwenyewe. so nimerudi tena kwa wale ambao wanahitaji vitu kutoka amazon au kutoka china kua naagizisha mzigo kutoka sehem hizo na utakua unauona kiganjani mwako mpaka unakufikia ulipo ...
  6. bushoke wa dar

    Freezer Inahitajika

    ninayo boss
  7. bushoke wa dar

    Kama kuna mchongo wowote

    asante kaka sikuona
Back
Top Bottom