Recent content by Bushman_king

  1. B

    Msaada wenu wana jamii, kilimo cha mpunga

    Habari za majukumu , naombeni msaada wa mawazo nahitaji kuingia kwenye kilimo cha mpunga naomba anae jua mchanganuo wa haya 1.Gharama za kukodi shamba kwa ekari 1 2.Kulima,palizi kwa ekari 1 3.Mbegu kiasi gani kwa ekari 1 Mazingira ya kilimo naombeni kujua kwa mikoa ya Morogoro au Mbeya.
Back
Top Bottom