Habari za majukumu , naombeni msaada wa mawazo nahitaji kuingia kwenye kilimo cha mpunga naomba anae jua mchanganuo wa haya
1.Gharama za kukodi shamba kwa ekari 1
2.Kulima,palizi kwa ekari 1
3.Mbegu kiasi gani kwa ekari 1
Mazingira ya kilimo naombeni kujua kwa mikoa ya Morogoro au Mbeya.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.