SUA mnatambua doctorate hii? maana nimeona hata kurugenzi ya IKULU haiwatambui kabisa: eti inasema chuo cha sokoine cha mzumbe, what's this? ovyooooooo!
Toka lini balozi akawa mpiga dembe wa siasi? Au kunanini? Wtz tusiwe watu wa kuburuzika kiasi hiki na wanasiasa nanyi tendeni ktk haki. Haya mengine hatutaki na mimi nina laani kitendo cha balozi huyo wachina tz.
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.