Recent content by busaraza2015

  1. B

    Idadi ya wabunge wanaoaga yazidi kuongezeka

    mbona Mumemsahau January Makamba :horn:
  2. B

    January Makamba azomewa jimboni kwake

    Mheshimiwa January Makamba, Mbunge wa Bumbuli, leo amekumbwa na kitu ambacho hakukitarajia katika maisha yake baada ya kukutana na hasira za wananchi wake jimboni. Mbunge huyo ambaye sasa yuko katika ziara jimboni kwake kwa zaidi ya siku tano, amekuwa anatembelea baadhi ya vijiji na maeneo...
  3. B

    Wazanzibar wenye sifa za kuwa rais wa muungano hawa hapa

    Tukiwa tunaelekea katika uchaguzi mkuu habari ndani ya CCM zimewaweka viongozi wa upande wa Zanzibar kwenye nafasi ya watu wanaokubarika kuongoza serikali ya Muungano baada ya kuona waliojitokeza wengi wanaonekana kuwa na doa la kikanuni la kuanza kampeni mapema na kutumia njia zisizoruhusiwa...
  4. B

    Utafiti wa utendaji wa mawaziri wamuweka prof. Makame Mbawala juu ya wengine

    Utafiti uliofanywa juu ya utendaji wa mawaziri wa awamu ya nne ya raisi Jakaya Kikwete umeonyesha baadhi ya mawaziri ambao si maarufu kuwa watendaji wazuri ndani ya wizara zao. Vigezo vilivyotumika kupima utendaji huo ni pamoja na mabadiliko ndani ya wizara zao, mahusiano ndani ya wizara zao...
  5. B

    January Makamba ni mzigo usiobebeka

    Pamoja na kujitangaza sana katika media (magazeti, tv na radio) na kwenye mitandao ya kijamii, January Makamba bado ameshindwa kuonyesha mvuto wake katika utendaji, kijana huyu anayejiona MSOMI wa juu sana amekuwa ni katika wabunge wa CCM ambao raisi Kikwete amewaweka serikalini kwa shinikizo la...
  6. B

    January Makamba: Mlilia urais aliyeshindwa kuongoza Wizara

    January makamba ni hasara kwa taifa.....ni bora nchi iende ukawa kuliko ccm kumuweka huyu mshenzi..
  7. B

    Wassira atangaza Neema: Wakulima kulipwa Billion 86

    Hii ndio wizara ambayo mzee Wasira anaiweza zaidi, anajua ni wizara inayobeba watanzania wengi na ndio msingi wa maendeleo ya nchi yetu. ASANTE WASIRA ASANTE KIKWETE KWA KUTAMBUA KWAMBA WASIRA NDIO ANAFAA
  8. B

    Serikali imjibu Lowassa, jinsi Richmond & Dowans zimezuia maelfu ya ajira serikalini

    Lowasa hana uwezo wa kuliongea la Escrow wakati yake yamemjaa na anajaribu kujisafisha. Lowasa alikuwa anaombea Escrow lihalibike japo wawe wengi wachafu ma yeye atumie nafasi hiyo kujiwekea mazingira ya kuonekana msafi...
  9. B

    Yaliyojiri Bungeni: Jumamosi, 29 Novemba 2014 (Hatma ya Sakata la Tegeta Escrow Account)

    Nimeshangazwa sana na ujasiri anaouonyesha AG ndani ya bunge kuhusu suala la escro, 1. hiki kiburi anakitoa wapi? 2. nani anamlinda au yeye analidwa na nani? 3. je mwanasheria huyu kweli hajua dhana ya uwajibikaji? hii nchi inahitaji system overhaul...Mh.Raisi aje aanze na huyu kwanza.
  10. B

    Mzee Yusuf Makamba atangaza kumnadi January Makamba Urais 2015

    January Makamba akiwa raisi wa nchi hii basi mimi nitahama nchi niende Burundi au Rwanda.... hana sifa hata kuwa mbunge.....anadhani atabebwa tena na baba yake
  11. B

    January Makamba naye asema tunahitaji Rais ajaye awe Dikteta

    Kumekuwa na na matamko mbalimbali hivi karibuni ya baadhi ya watu wakishauri raisi ajaye awe "dicteta" kwa maana anatakiwa awe na maamuzi magumu na mazito ili kurudisha utawala bora na uadilifu kwa viongozi, moja ya viongozi waliosema haya ni january makamba. Kwanini tunahitaji "Dicteta"...
  12. B

    Mzee Makamba apingwa Bumbuli

    January ni mkristo ila anaficha sana watu wasijue... Kupata support ya waislamu... Mama yake pia ni mkristo Mzee makamba ni muislamu wa jima...
  13. B

    Kumchafua Januari Makamba: Onyo la Mzee Makamba kwa Edward Lowassa

    Muacheni mzee Makamba aje kumchafua Lowasa na sisi tutamuuliza maswali yafuatayo: 1. Anakumbuka siku alipompa mimba mwanafunzi akafukuzwa kazi 2. Je anakumbuka alipokuwa morogoro na kiongozi mwenzie sasa marehemu walipo kodisha hoteli na kuweka wanafunzi kwwnye vyumba na kuanza kufanya nao...
  14. B

    Wassira: Nitagombea urais 2015

    Ni sheeedah.... 1. Katika CCM Mzee wasira ndio kiongozi anayeweza kurudisha mshikamano na umoja ndani ya chama kwa kuwa hana makundi ya kisiasa. 2. Uadilifu wake ni sifa ya kiongozi tunayehitaji kwa sasa ili aweze kusimamia maendeleo ya nchi hii lakini pia kusimamia maadili ya nchi yetu ambayo...
  15. B

    Pinda amaliza mzozo wa kiwanda cha chai cha mponde-bumbuli

    Hatimaye leo waziri mkuu Mh. Pinda amekutana na viongozi wa mkoa wa tanga ma wale wa kiwanda cha chai kutatua mgogoro wa kiwanda cha chai cha mponde uliodumu kwa kipindi cha mwaka mmoja na nusu. Mh. Waziri mkuu ameamulu kiwanda kifunguluwe haraka chini ya wasimamizi wake wa zamani kinyume na...
Back
Top Bottom