Recent content by bunyebunye

  1. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu hizi option ziko 1xbet au ni kampuni gani?
  2. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tumia browser especially operamin
  3. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    SAWA mkuu nimeweza kutumia
  4. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Hivi hizi gifts za sportbet Huwa zinatumikaje? Maana naona zinanishinda
  5. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Natumia Airtel, lakini nikifungua kwenye browser inagoma
  6. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Wadau sportbet Ina tatizo? Naona inagoma kufunguka kabisa
  7. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Treni kuanzia leo hadi ijumaa kuu Sportybet BCG728S Weka 500 ule 7M
  8. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Huwa inakubali, labda ni shida ya mtandao sababu mimi natumi namba ya tigo. Jaribu uangalie password ulizoweka
  9. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Ila mkuu huwa unajua kukomesha watu, wanapanic kwa won tickets zako wala huna shida wala maneno mengi. Wangekuwa wengine hapa kungekuwa na ngonjera na taarabu nyingi sana.
  10. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Tujaribu hapa Kampuni: Sportybet Code: BCG4EWE Odd: 3.33
  11. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Mkuu achana na Betpawa, ingia Sportybet. Iko vizuri zaidi ya Betpawa. Wana option ya kufanya analysis kwenye site yao kiasi kwamba unaweza kuangalia timu ni ya ngapi kwenye msimamo, H2H, na matokeo ya mchezo 5 iliyopita kwa kila timu. Pia wanayo App japo haiko playstore, lakini ukiingia kwenye...
  12. bunyebunye

    Mikeka: Wazee wenzangu wa kuweka mzigo, karibuni tubashiri mechi za leo

    Yaani hili gundu sijui nalitoaje, kati ya timu 25, 2 tu ndiyo zilinilaza na viatu 23 zikatiki. Juzi napo kati ya timu 15 timu moja tu ndiyo ilinichania
  13. bunyebunye

    Cash app ipi ambayo mtu aliye Tanzania anaweza kupokea pesa kutoka Marekani?

    Hii app ni maalum kwa watu walio kwenye hizo nchi ndiyo watajisajili kisha anakutumia wewe huku Tanzania inaingia moja kwa moja kwenye Mpesa au Airtel money yako. Mimi pia nimewahi kupokea pesa kwa njia hii
Back
Top Bottom