Andiko la: Wakili William Maduhu
1.1UTANGULIZI
Tarehe 2 Mei 2026 vyombo vya habari na watanzania kupitia taarifa ya Mkurugenzi wa Mawasiliano ikulu tulijulishwa kuwa Mhe Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania amemteua Mhe Dkt. Eveline Munisi kuwa Naibu waziri katika ofisi ya waziri mkuu...
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Waziri Mkuu - TAMISEMI, Prof. Riziki Shemdoe, amewataka Wakuu wa Mikoa nchini kuhakikisha Halmashauri zinaweka mipango madhubuti ya kuendeleza uzalishaji wa nafaka na mazao mchanganyiko kwa kuzingatia kanuni za kilimo bora.
Prof. Shemdoe ametoa wito huo leo Aprili 16...
Nipo hapa Dodoma, Wakuu takribani wote wa Mikoa tupo nao mitaani tunakutana Bungeni tu, nilipowauliza wanafanya nini wametujulisha kuwa walikuja hapa zaidi ya wiki tatu zilizopita kwa ajili ya kusikiliza hotuba ya Bajeti ya Waziri Mkuu.
Miaka ya nyuma ilikuwa kawaida wakati wa Hotuba ya Waziri...
JE TANZANIA IMEKIUKA AU INAKIUKA MKATABA WA UANZISHWAJI WA JUMUIYA YA AFRIKA MASHARIKI JUU YA WAHESHIMIWA JAMES KINYASI MILLYA, NG'WARU MAGHEMBE NA ANJELA CHARLES KIZIGHA KUENDELEA KUWA WABUNGE WA BUNGE LA AFRIKA MASHARIKI WAKATI HUOHUO WAKIWA WABUNGE WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA...
Katika miaka ya mwanzo ya uongozi wake, Rais Samia Suluhu Hassan alionekana kubadili upepo wa kisiasa kwa kuonesha utashi mpya uliogusa moja kwa moja masuala ya demokrasia, uhuru wa vyombo vya habari na mwelekeo wa kidiplomasia. Kauli na hatua zake za awali zilijenga taswira ya kufungua milango...
Mwanasiasa Sylvestry Francis Koka ambaye ana zaidi ya Miaka 15 Bungeni, hakuwepo Bungeni muda mrefu mara baada ya kushinda katika awamu yake ya tatu kwenye Uchaguzi uliopita.
Pamoja na hivyo hakuonekana Bungeni, ilidaiwa anaumwa na alikuwa nje kwa matibabu, alionekana wiki mbili zilizopita...
Kuna tetesi kuwa baadhi ya Wabunge wetu huwa wana kawaida ya kuwanyonya madereva wao kwenye suala la mishahara kwa kuwa inapitia kwao Wabunge.
Nashauri kama inawezekana mshahara wa dereva upite moja kwa moja kutoka Bungeni uingie kwenye account ya dereva.
Ipo hivi mshahara na posho ya dereva...
Wabunge wote wa CCM wanaoandikisha majina kutaka kuzungumza wanafuatwa au kuitwa na Lukuvi na kuulizwa wanataka kuzungumza nini, ili kama kuna chochote ambacho hakiendani na wanachokitaka wenye mamlaka, Mbunge aelekezwe nini cha kufanya.
Baadhi ya Wabunge wakongwe wameonekana kugomea wito huo...
Wenyeviti wengi wa Kamati hizo walitakiwa kupigiwe kura kama ilivyo kawaida lakini kilichofanyika majina yalikuja from no where watu wakasomewa majina ya Wenyeviti, ikawa imeisha hiyo.
Wabunge walibaki na maswali yasiyo na majibu. Kisha huku nje ikaja kutangazwa kuwa wamepigiwa kura wameshinda...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.