Kuna jamaa pesa ilichanganyia, akawa ameingia mkataba na wachimbaji wadogo kwa kuwawezesha vifaa,ikatokea kutokuelewana ikabidi RC aende kusikiliza.Pale kwenye kikao jamaa akatamka "Siwezi kukubali huu ujinga hata kama nikiwekewa 🔪 shingoni" kikao kikavurugika wakaondoka, basi bwana kumbe wakawa...
Ukosoaji upo pale pale, kwasababu ninyi wenyewe mnashindwa kuja na majibu yanayoeleweka,mkwa mfano mtu kanusurika abduction anaeleza yaliyomsibu madelu anadai ni michezo ya kujiteka pasipo kutoa ushaidi au reference
Kuna hawa Idera mining ltd wapo kule musoma vijijini wanaondoka na mali pasipo uangalizi kwa kupewa escort ya Suma jkt.Ni uchungu sana kwa wapenda maendeleo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.