Labda roho nzuri na wema aliwatendea watu wa status yake au aliokua anafahamiana nao,kwani haujaona clip akiwajibu kwa kejeli wenye matatizo ya ardhi,mbaya zaidi walipokuwa wanamwelezea shida zao anawakatiza.Wakijaribu kuongea naye kwa vitendo kwa kumwonyesha makaratasi nayo hataki kupokea
Kuongezeka mwili ni sawa ila kwa wanawake wembamba wao wanakuaga tofauti ni hips pekee yake ndio zinaongezeka ila Sehemu nyingine za mwili zinabakia kuwa vile vile
Binafsi huwa naamini serikali inafanya biashara na wananchi na sio kuwasaidia,ukitaka kuamini hili elekea ofisi za umma kupata huduma kila kitu ni fedha hata vile tu vinavyoonekana ni vidogo bado utatozwa gharama.Sasa ebu imagine suala la kupata affidavit nalo mpaka kulipa pesa.
Hapo...
Ahaha msamehe bure tu, mwanamke mwembamba mwenye kiuno anapitia changamoto sana sababu anavutiabure itakua alipitia stress akapungua
Msamehe bure tu, mwanamke mwembaba mwenye kiuno anapitia changamoto nyingi sana za kusumbuliwa,mwili ulirudi hali ya zamani itakua labda alikutana na stress
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.