Recent content by Bunchari

  1. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: CHADEMA wametoka kuwa chama cha Siasa sasa ni chama cha wanaharakati, wanaendeshwa na rimoti

    Walizoea kuonga pesa wanasiasa wa upinzani,chedema endeleeni hivyo hivyo
  2. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Kihongosi: CHADEMA wametoka kuwa chama cha Siasa sasa ni chama cha wanaharakati, wanaendeshwa na rimoti

    Walizoea kuonga pesa wanasiasa wa upinzani,chedema endeleeni hivyo hivyo
  3. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Ukifanikiwa punguza kelele kula kimya kimya, Dogo mmoja wa Twitter huko X sasa hivi wamemfelisha

    Kuna jamaa pesa ilichanganyia, akawa ameingia mkataba na wachimbaji wadogo kwa kuwawezesha vifaa,ikatokea kutokuelewana ikabidi RC aende kusikiliza.Pale kwenye kikao jamaa akatamka "Siwezi kukubali huu ujinga hata kama nikiwekewa 🔪 shingoni" kikao kikavurugika wakaondoka, basi bwana kumbe wakawa...
  4. Bunchari

    JamiiForums Tanzania HOJA Kutoka Urusi: Madhaifu ya Chuo kinachotaka kumpa Samia PhD inauzwa kwa 100,000$ kukuza propaganda

    Kumbe kaenda kuongeza elimu,mimi nilidhani ni kututafutia fursa
  5. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Katambi kutoa maoni mitandaoni ni kosa? Unaimarisha kikosi ili kifanye nini? Kikosi cha UTEKAJI? Kikosi cha MAUAJI? Muda utaongea. Umekera wengi

    Ukosoaji upo pale pale, kwasababu ninyi wenyewe mnashindwa kuja na majibu yanayoeleweka,mkwa mfano mtu kanusurika abduction anaeleza yaliyomsibu madelu anadai ni michezo ya kujiteka pasipo kutoa ushaidi au reference
  6. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Familia ya Bernard Membe wavaana wakigombea mali. Iwe funzo kwa mafisadi wote

    Mali isipokuwa ya halali lazima ilete shida muhusika anapokuwa hayupo
  7. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Mbunge Muhsin Haji: Niwaambie vijana wa Tanzania mtakuja kumkumbuka Rais kwa makubwa aliyofanya kwa nchi hii

    Amefanya miradi gani ya kimkakati mpaka tumkumbuke??? Mfano Jpm ukipita pale ubungo kuna fly over kule Busisi pia ipo
  8. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Kuna hawa Idera mining ltd wapo kule musoma vijijini wanaondoka na mali pasipo uangalizi kwa kupewa escort ya Suma jkt.Ni uchungu sana kwa wapenda maendeleo
  9. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Maadhimisho ya siku ya ziwa victoria ni aibu kwa CCM na viongozi wake kwa ujumla

    Walimu wa shule za msingi ndo wanaongoza kwa ujinga
  10. Bunchari

    JamiiForums Tanzania RUTO: Hatumlazimishi Dangote mahala pa kuwekeza

    Nimeona juzi president Emmanuel macron akifanya jogging asubuhi mitaa ya nairobee mpaka nikaona wivu
  11. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili za kutaka kumwongezea muhula wa tatu katika Katiba Mpya ya mwaka 2028 ili kukwepa uwajibikaji baadaye

    Hata wakimpa miaka 20 hatoweza, hivi unadhani ni rahisi kuzungumza na kundi la watu ambalo unahisi hamwelewani
  12. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Bunge lifanye jambo pale kwenye katiba ili Mama atuongoze angalau kwa miaka mingine 7 baada ya 2030, ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa

    Ahaha sasa nani atakua anamsikiliza au atakua anajiendea endea tu
  13. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Eti na huyu ni Askofu! Maajabu ya dunia! Anachunga Kondoo wa MUNGU

    Hawa ndio wanasababisha idadi ya wasioamini katika dini wanaongezeka,likachomwe moto ilo
  14. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya itapatikana, ILA... mjiandae kisaikolojia

    Kwenye hiyo katiba tarajiwa waweke serikali za majimbo itabamba sana, magavana tu wapigie kura sio kuteuliwa.
Back
Top Bottom