Recent content by Bunchari

  1. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Katambi kutoa maoni mitandaoni ni kosa? Unaimarisha kikosi ili kifanye nini? Kikosi cha UTEKAJI? Kikosi cha MAUAJI? Muda utaongea. Umekera wengi

    Ukosoaji upo pale pale, kwasababu ninyi wenyewe mnashindwa kuja na majibu yanayoeleweka,mkwa mfano mtu kanusurika abduction anaeleza yaliyomsibu madelu anadai ni michezo ya kujiteka pasipo kutoa ushaidi au reference
  2. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Familia ya Bernard Membe wavaana wakigombea mali, iwe funzo kwa mafisadi wote

    Mali isipokuwa ya halali lazima ilete shida muhusika anapokuwa hayupo
  3. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Mbunge Muhsin Haji: Niwaambie vijana wa Tanzania mtakuja kumkumbuka Rais kwa makubwa aliyofanya kwa nchi hii

    Amefanya miradi gani ya kimkakati mpaka tumkumbuke??? Mfano Jpm ukipita pale ubungo kuna fly over kule Busisi pia ipo
  4. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Kuna vitu vinachekesha sana kama hili la migodi mikubwa kuwa na airports zao za ndani kwa ndani. Kweli waafrika aliyeturoga alikufa na ulozi wake

    Kuna hawa Idera mining ltd wapo kule musoma vijijini wanaondoka na mali pasipo uangalizi kwa kupewa escort ya Suma jkt.Ni uchungu sana kwa wapenda maendeleo
  5. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Maadhimisho ya siku ya ziwa victoria ni aibu kwa CCM na viongozi wake kwa ujumla

    Walimu wa shule za msingi ndo wanaongoza kwa ujinga
  6. Bunchari

    JamiiForums Tanzania RUTO: Hatumlazimishi Dangote mahala pa kuwekeza

    Nimeona juzi president Emmanuel macron akifanya jogging asubuhi mitaa ya nairobee mpaka nikaona wivu
  7. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Kuna dalili za kutaka kumwongezea muhula wa tatu katika Katiba Mpya ya mwaka 2028 ili kukwepa uwajibikaji baadaye

    Hata wakimpa miaka 20 hatoweza, hivi unadhani ni rahisi kuzungumza na kundi la watu ambalo unahisi hamwelewani
  8. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Bunge lifanye jambo pale kwenye katiba ili Mama atuongoze angalau kwa miaka mingine 7 baada ya 2030, ndo hitaji la wananchi wengi kwa sasa

    Ahaha sasa nani atakua anamsikiliza au atakua anajiendea endea tu
  9. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Eti na huyu ni Askofu! Maajabu ya dunia! Anachunga Kondoo wa MUNGU

    Hawa ndio wanasababisha idadi ya wasioamini katika dini wanaongezeka,likachomwe moto ilo
  10. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Katiba mpya itapatikana, ILA... mjiandae kisaikolojia

    Kwenye hiyo katiba tarajiwa waweke serikali za majimbo itabamba sana, magavana tu wapigie kura sio kuteuliwa.
  11. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Shuhudia Hiki Kinachofanywa na Pastor Huyu wa Jirani Zetu, kisha Compare na Kinachofanywa na ma Pastor Wetu!. Nimeguswa!

    Mchungaji ambaye nazungumzii hali ngumu ya maisha,uonevu na kukosekana kwa haki mimi anipite pembeni simtaki
  12. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Mbunge wa Viti Maalum Tanga, Husna Sekiboko: Serikali ishughulike na wanaojiteka

    Ujinga kama huu si wa kuleta kwa critical thinkers
  13. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Hatimaye gazeti jipya laanza kazi rasmi leo

    Kipeperushi kama cha msiba
  14. Bunchari

    JamiiForums Tanzania Hizi ndio Taasisi zenye mishahara minono Tanzania

    Basic salary sio issue, kuna watu wanapiga pesa kupitia njia za kawaida very simple,mfano kuna siku nimeenda kupata huduma mahakamani,kila anayekuja na shida anaacha kitu mara utasikia kwaajili ya muhuli mara uhakiki.Kwa muda niliokuwa pale yule mama wa Masijala alikua kukusanya zaidi ya elfu 90
Back
Top Bottom