Ukosoaji upo pale pale, kwasababu ninyi wenyewe mnashindwa kuja na majibu yanayoeleweka,mkwa mfano mtu kanusurika abduction anaeleza yaliyomsibu madelu anadai ni michezo ya kujiteka pasipo kutoa ushaidi au reference
Kuna hawa Idera mining ltd wapo kule musoma vijijini wanaondoka na mali pasipo uangalizi kwa kupewa escort ya Suma jkt.Ni uchungu sana kwa wapenda maendeleo
Basic salary sio issue, kuna watu wanapiga pesa kupitia njia za kawaida very simple,mfano kuna siku nimeenda kupata huduma mahakamani,kila anayekuja na shida anaacha kitu mara utasikia kwaajili ya muhuli mara uhakiki.Kwa muda niliokuwa pale yule mama wa Masijala alikua kukusanya zaidi ya elfu 90
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.