Recent content by bumilo

  1. B

    PreGE2025 Peter Msigwa: Nimemtuhumu Mwenyekiti wa Chama, sijamtuhumu Mbowe

    Mwenyekiti wa CHADEMA anaitwa nani kwa jina lake na MBOWE ni nani kwenye chama chake? Siasa ina mambo mengi sana
  2. B

    Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

    Suala la msingi ni kwamba wewe pigania yule unayedhani anafaa kwenda ikulu na mwingine/wengine wapiganie yule wanayedhani anafaa kwenda ikulu. Zingine zote ni porojo za kutafuta "attention."
  3. B

    Siwezi kuingia barabarani kwaajili ya kumpambania Lissu au Mbowe aingie Ikulu

    Sasa kama wewe huwezi si ukae kimya Ili wenye kuwapigania wachukue jukumu lao. Kama hauli nyama kwanini utake kumlazimisha alaye naye asile? Bongo ina mambo mengi sana
  4. B

    Picha za kurasa za vitabu hivi mbona zinatisha huwa vinafundisha nini?

    Hahahahahah. Bongo noma. Ukifa na stress ni uzembe wako
  5. B

    Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka kutolewa Ikulu?

    Unajua kuna watu wanasema eti kutolewa ikulu kupelekwa wizarani huko kaula kwa sababu kapandishwa cheo. Ndo maana nikahitaji wataalamu wanisaidie maana kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano IKULU na kupelekwa wizarani eti huko ni kuula.
  6. B

    Zuhura Yunus kaboronga wapi mpaka kutolewa Ikulu?

    Sijui mimi ndo sielewi. Kutoka kuwa Mkurugenzi wa Mawasiliano IKULU ya RAIS kwenda kuwa NAIBU KATIBU MKUU kwenye OFISI YA WAZIRI MKUU, wapi pako juu ya chenzake? Je, ni IKULU au OFISI YA WAZIRI MKUU? Please wajuvi wa mambo nisaidieni nipate kuelewa
  7. B

    Lissu na Muungano wa mchongo, aeleza kutekwa kwa Jumbe

    Jf kuna mambo na vijimambo.
  8. B

    Hadi sasa Sijaona jambo jipya aliloongea Tundu Lisu zaidi ya kuwashuhudia CCM na Chadema Wote wakiwa wamepanic!

    Ila sana kwa kutokuona chochote kipya. Wewe ni mtu wa pekee sana
  9. B

    Maji ya ziwa Viktoria yavamia makazi Lamadi, kaya 400 hazina pa kwenda

    Kwani sheria inasemaje juu ya uvamizi wa maji?
  10. B

    Mnaodai Tanganyika mna damu ya utumwa na kuhusudu ukoloni

    Hivi kabla ya hiki kinachoitwa muungano, Tanganyika ilikuwepo au haikuwepo? Zanzibar iliungana na nchi gani kutengeneza nchi iitwayo Tanzania? By the way Tanganyika iliuawa kwa sera za mchonga. Kuna decree ambazo ziliamuliwa na aliyekuwa baba wa Tanganyika. Tusome maandiko na kusikiliza hotuba...
  11. B

    Inawezekana tuna watu wasio na uwezo katika nafasi wanazozitumikia?

    Hivi aliyetaarifiwa kwamba raisi amefariki ni mkuu wa majeshi au mkuu wa majeshi ndo alikuwepo wakati mheshimiwa raisi alipokuwa anakata roho??!!!! Hebu angalia Aya ya nne ya thread yako na ufuatilie mazungumzo ya CDF vizuri
  12. B

    Gerald Hando: Mbowe aachie ngazi, amekaa sana CHADEMA

    Kwani naye ni mwanasiasa? Basi nae aachie ngazi hapo alipoajiriwa
  13. B

    PreGE2025 Rais Samia atenga siku moja kila mwezi kusikiliza kero za watanzania

    🤣🤣🤣🤣🤣. #Karagabao bwana
Back
Top Bottom