Recent content by BUMIJA MOSES

  1. B

    Tukiri kwamba katika mfumo wa muungano uliopo, inawezekana raisi kutoka Zanzibar akafanya kazi kwa maslahi ya Zanzibar zaidi ya bara au ya muungano

    Tatizo kubwa linatokana na sisi Watanganyika kukubali kupoteza Tanganyika yetu na kuhadaika kuwa Nchi yetu ni Tanzania Bara. Tushtuke Watanganyika
  2. B

    Wafanyabiashara wamkataa na kumpinga Tundu Lissu na CHADEMA yake. Wasema Serikali Ya CCM ni sikivu

    Acha Uongo wewe, Mimi nilikuwa Kariakoo leo, nakueleza ukweli, kama leo ingekuwa ni siku ya Uchaguzi Mkuu, CCM ingeambulia BUYU
  3. B

    Muda si mrefu Muungano wa Zanzibar na Tanganyika utavunjika

    Kimsingi Muungano ulivunjwa tokea mwaka 2010, baada ya Serikali ya Zanzibar kuifanyia marekebisho Katiba yao ya Mwaka 1984, na wazanzibar kuridhia marekebisho hayo. Marekebisho hayo yameitambua Zanzibar kama nchi, wakati Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua kuwa Tanzania ni nchi...
  4. B

    Muda si mrefu Muungano wa Zanzibar na Tanganyika utavunjika

    Kimsingi Muungano ulivunjwa tokea mwaka 2010, baada ya Serikali ya Zanzibar kuifanyia marekebisho Katiba yao ya Mwaka 1984, na wazanzibar kuridhia marekebisho hayo. Marekebisho hayo yameitambua Zanzibar kama nchi, wakati Katiba ya Jamhuri ya Muungano wa Tanzania inatambua kuwa Tanzania ni nchi...
  5. B

    Kwanini Wananchi wanafuatilia zaidi habari za Tundu Lissu kuliko vikao vya Bunge?

    Sababu kubwa ni kuwa Mhe Lissu anagusa mahitaji na mahangaiko ya watu, tofauti na Bunge la sasa
  6. B

    Mbowe: Tunataka Wakuu wa Mikoa na Wilaya wawe wanapigiwa kura badala ya kuteuliwa na Rais ili kuepuka wahuni!

    Wakuu wa Mikoa na Wilaya kwa sasa wanatekeleza shughuli ambazo zingeweza kutekelezwa na Mamea wa Manispaa, Majiji au Wenyeviti wa Halmashauri. Hata hivyo kuna haja ya hao Mamea na Wenyeviti wa Halmashauri kuchaguliwa na wananchi badala ya sasa wanavyochaguliwa na Madiwani. Katiba Mpya haiepuki
  7. B

    Je, Rais na Mwenyekiti wa CCM taifa anafitiniwa?

    Vita vya Panzi furaha kwa kunguru. CCM mwisho wake unaoneka kwa macho ya kawaida sana
  8. B

    Rais Samia anaiua CHADEMA polepole

    Umejitajidi sana kujionyesha ulivyo. Waswahili wamenena "DUA LA KUKU HALIMPATI MWEWE"
  9. B

    DOKEZO Mbowe anakwenda kupewa nafasi nyeti ili kuyalinda maridhiano

    Hakuna jambo kama hilo. Ili hayo yafanyike lazima Katiba iwe na ibara ya Serikali ya mseto kama ilivyo Katiba ya Zanzibar iliyofanyiwa marekebisho mwaka 2010. Kwa sasa Katiba hii inaruhusu uwepo wa Serikali hiyo kama itatokea uwepo wa Chama chenye Wabunge wengi Bungeni, tofauti na Chama...
  10. B

    Tathmini: Freeman Mbowe ndiye Mwanasiasa Maarufu zaidi Tanzania na Afrika kwa mwaka 2022

    Mimi nimekuelewa vizuri sana. Mhe Mbowe amefanya mambo ambayo wanasiasa walio wengi hawawezi kuyatenda. Ameongoza mijadala ya Kidemokrasi ktk Utawala wa awamu ya nne, kwenye awamu ya tano aliongoza kusudio chanya la kuwa ma mjadala hata hivyo watawala waliweka mpira kwapani (hawakutaka dirisha...
  11. B

    Zanzibar ni nchi huru au ni sehemu ya Tanzania?

    Wanzanzibar pamoja na uchache wao wanajitambua kuliko sisi Watangsnyika. Kwa kiasi kikubwa wametuonyesha njia ya kuboresha Muungano wetu kupitia Mabadiliko ya kumi ya Katiba ya Zanzibar yaliyofanyika mwaka 2010. Kwa sasa Katiba hiyo inatambua kuwa Zanzibar ni Nchi, Rais wa Wanzibar ana madaraka...
  12. B

    Kadogosa: Tumenunua Vichwa na Mabehewa mitumba kwa sababu Mpya za show room tulikosa na za kukodi Bei zilikuwa kubwa kuliko Mitumba!

    Nchi yetu na mambo yanavyoenda huwezi kujua tumwamini nani. Tuendelee kucheza rumba la muziki wa Maendeleo endelevu
Back
Top Bottom