Recent content by Bullbuddy

  1. Bullbuddy

    Nawezaje kupata nafasi ya kuhamia UDOM?

    Mkuu changamoto ya private gharam ipo juu kidogo ila UDOM inakuw affordable kidogo
  2. Bullbuddy

    Nawezaje kupata nafasi ya kuhamia UDOM?

    Wakuu habari? Nina mdogo wangu anasoma diploma in pharmaceutical sciences chuo kimoja Cha private hapa Mwanza, Amemaliza First year mwezi huu anaenda Second year nilihitaji kujua process za kufanya Ili kupata nafasi ya kuhamia UDOM dogo Yuko vzr Kwa case ya matokeo ya mwaka Au mwenye...
  3. Bullbuddy

    Simiyu: Wananchi wavamia Kituo cha Polisi wakidai kuna matukio mengi ya Watoto kupotea

    Kwani sababu kubwa iliowafanya Lamadi kuandamana ni upotevu wa watoto hawajatumwa na viongozi wowote Ila ni upotevu wa watoto pasipo ya majibu ya wale wenye dhamana ya kulinda raia na Mali zao, sidhan km una mtoto na km utakuw nae huenda analelew na mwanaume mwingine hujui uchungu wa mtoto...
Back
Top Bottom