Pumbafu wewe rudia Tls walicho sema ni mwongozo wa ushauri tena wameambatanisha na katiba siyo lazima kama wewe pangu pakavu tia mchuzi una
Vipi wewe ndugu unaona mkia wa Ngombe unauliza kinyeo kiko wapi?
Tumia ufahamu kidogo mnauita lojiki
Nini kazi ya TISS ni ku contro sio ku controliwa sasa ianze upya yenyewe yaani duu mpaka iliye mchuja anaijua na kuianika adharani hata kutoa siri za mchakato ni aibu kubwa
Kisheria hata kolokoloni(bawaba)anambinu za kulinda nyumba ya tajiri mpaka uchawi anatumia lakini tajiri hapaswi kujua na...
Mama Samia ili afanikiwe afuate ya Tshikedi Kongo na ubia wa Kabila
Atumie mbinu ya kuondoa vinasaba viovu kwa kudeel na Supika Ndugei kama Kongo
Hapo ataweza kuendesha nchi atambue kuna nileteeni Gwajimaaa!!? Ukweli atamsumbua sana Mh Raisi
Jingine sasa mtaona usumbufu wa Mashehe kwa...
Yote kwa yote TISS sasa isimame kama taasisi uzembe ulio toke mpaka wakazidiwa na mtu na kuanza kusikiliza MTU badala ya taasisi ya Uraisi isijirudie mpaka mtu ana waanika hadharani hoo huyu tulimuweka kule kuchunguza lisijirudie tena au huko kwenu Tiss hakuna somo la Ethic?
Nileteeni Gwajimaaa!!!! Huyu atamsumbua sana mama kupitia bunge(genge la walio pitishwa na mtukufu) Mama Samia chunga genge hilo linaweza kukupindua
Kule Kongo Tishekedi amewaweza wafuasi wa Kabila kwa kumshughulikia Spika aliyekuwa amewekwa na Kabila hata wewe Mama una mtaji wa Pm majaliwa...
Kuna wimbo unaimbwa
"Nikosa la marehemu hakuvaa kondomu"
Wale watoto walio imba wimbo ule bado nawatafakari
Nimetembea nyumba za waelewa nimekuta Washuwa wamezuiwa na watoto wao wasitoke na wavae Barakoa na kweli wapo wanadunda pamoja na madhaifu ya kisukari,pressure,moyo
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.