Recent content by Bukyanagandi

  1. B

    Elon Musk anaunga mkono sana mapinduzi ya kijeshi yatokee Venezuela. Kuna siri gani nyuma ya hili?

    Watu masikini wanaweza kukimbilia MIAMI kweli?Huyo jamaa tumuulize swali dogo,je,anataka kusema Saudi Arabia kila mtu ni tajiri ie anaishi maisha mazuri kwa kuwa Taifa hilo lina utajiri mkubwa ma mafuta? jibu ni hapana, why pick on Maduro and Venezuela if I may ask??
  2. B

    Make Gaza Israel Again ndiyo kiboko cha Magaidi huko Gaza!!

    Ni kweli mkuu,Waisrael wengi hawaungi mkono utawala wa Natenyahu pamoja na wapambe wake, ndio maana anatafuta kilambinu kukwepa kufikishwa mahakamani yeye ni mkewe kujibu tuhuma za kupokea rushwa, binafsi nina imani kwamba siku moja Bunge litapiga kura ya kukosa imani na uongozi wake hiyo...
  3. B

    Israel launches new spy satellite with unique capabilities in the world

    Una maana gani unapo sema chini ya aridhi!! under ground au?
  4. B

    Make Gaza Israel Again ndiyo kiboko cha Magaidi huko Gaza!!

    Tofauti haipo kabisa na kama ipo basi ni ndogo sana sana!!
  5. B

    Kwa karipio hili la Misri ni dhahiri hali si shwari tena kwa Israel

    Tatizo kubwa hapa linatokana na Trump kuunga mkono ufedhuli wa Natenyahu wa kutaka kupora eneo zima la Gaza na kiwapatia eneo hilo walowezi wa Kiyahudi, hata Trump anataka kuwekeza Gaza kwa kujenga mahoteli ya kitalii na kuweka viwanja vya Golf, ndiyo maana Natenyahu ana kiburi na jeuri sana...
  6. B

    Umoja wa Mataifa kuhamishia kikao cha General Assembly kwenda Geneva

    Mkuu binafsi huwa nashangaa sana ni kwa nini makao makuu ya UN hayakujengwa huko Geneva Uswiss baada ya vita ya WW2, Dunia ikitaka kukwepa fugisu la kuwakatalia baadhi ya maafisa au viongozi wa aataifa fulani kuingia Merikanj kwenye mikutano nyeti kama mikutano ya UN, basi International...
  7. B

    Donald Trump hii leo anatarajiwa kutia saini amri itakayobadili jina la wizara ya ulinzi ya nchi hiyo kuwa wizara ya vita

    Well said mkuu, hata hili la Modi kuhibukia kwenye sherehe nchini China huku kama siku tatu nne hivi Modi alikataa kupokea simu za Trump na hiyo vile vile lilimshitua sana Trump maana hakuna kiongozi yeyote hapa Duniani aliye wahi kusisia simu za Trump ambaye ujuchukulia ni kama ni kiongozi wa...
  8. B

    Donald Trump hii leo anatarajiwa kutia saini amri itakayobadili jina la wizara ya ulinzi ya nchi hiyo kuwa wizara ya vita

    Mikwara kwara yake ya kutaka kutishia maadui wake, hana hata habari kwamba na wao walisha jipanga siku nyingi ku-deal na ufedhuli wa Uongozi wa Taifa la Merikani ambalo ujiona ni bora zaidi kuliko mataifa mengine hapa Duniani!!
  9. B

    Donald Trump hii leo anatarajiwa kutia saini amri itakayobadili jina la wizara ya ulinzi ya nchi hiyo kuwa wizara ya vita

    Hao wakiungana Merikani haitaweza kutoboa, vita vipiganwa nchini mwake for the first time, hakuna cha kutumia Pacific au Atlantic Oceans kama kinga au kujiona wao wako mbali kutoka kwenye war theater ya huko Ulaya maana kuna kila dalili kwamba vita hii ya WW3 itaanzia huko huko Ulaya Viongozi...
  10. B

    China & Ethiopia imetaja idadi ya watu waliofariki wakati wa Ujenzi wa bwawa la Umeme & reli ya Tazara. Mbona Tanzania hatutaji?

    Hapana mkuu, wakati wa ujenzi wa reli ya TAZARA, Wachina waliwatumia sana wabongo kuchoronga vijishimo vya kuweka baruti za kulipua miamba kwenye mahandaki/tunnels , sasa kabla hawajazilipuwa walikuwa wanahakikisha waliweka idadi ngapi za sticks za baruti, na zilipokuwa zinawashwa baruti...
  11. B

    China & Ethiopia imetaja idadi ya watu waliofariki wakati wa Ujenzi wa bwawa la Umeme & reli ya Tazara. Mbona Tanzania hatutaji?

    Hata mimi idadi hiyo Kidogo inanishangaza,je,walikuwa wana angukiwa na zege au milipuko kulipuka ghafla au kuangukiwa na nuilding cranes, takwimu hiyo haingii akilini hata kidogo.
  12. B

    China Inatakiwa Kutoa Shukrani Kwa Beberu USA kuisaidia Kushinda Vita ya Pili ya Dunia na Japan Badala ya Kujipongeza Kwa Magwaride Yasiyo na Tija

    Ni kweli mkuu na the Brains behind ya Operation unthikable alikuwa ni Waziri Mkuu wa Uingereza Wiston Churchill, yeye ndiye alimshurutisha Rais wa Merikani wa wakati huo Harry Truman, kwamba waishambulie Urusi kwa kutumia mabom ya Atomic, washauri wao wa kijeshi walipendekeza kwamba mabom 350...
  13. B

    Gwaride la kijeshi la China la Septemba 3 litaonyesha silaha na vifaa vilivyoboreshwa.

    Mimi nataka Wachina watuonyeshe muundo wa fighter jets silizo fanikiwa kuzilipuwa ndege za vita za Ufaransa kwa kitumia missiles zao hatari za fire and forget!! ie sio lazima Pilot azione ndege za adui zilipo jichimbia, vile vile nataka nione S-400 ambazo waziri mkuu wa India alikuwa anazisifia...
Back
Top Bottom