Nina uhusiano wa kimapenzi na wasichana Wawili na kunamwingine bado namfuatilia lakini natamani niache ujinga huo ukizingatia nina mke na watoto, ila nimeshindwa.
Huwa naamua kuwa kuanzia sasa basi sitaki tena, baadae nikikutana na mmoja wao naanza yale yale au wakati mwingine akinipigia simu...
Kuna rafiki yangu anamchumba wake hamuamini, alikuwa anahitaji kufuatilia mawasiliano yake. Nasikia kuna sim ambayo akimununulia anaweza kufuatilia mawasiliano yake pasipo muhusika kujua. Ni aina gani ya sm, ni program ipi inatumika, na program hiyo ni ya kudownload au iko ndani ya cm husika...
Habari zenu?
Kuna dada nilimtongoza muda mrefu karibia miaka mitatu sasa lakini mpaka sasa sijaona kitu. Tokea mwanzo alikubaliana na ombi langu, ila utekelezaji wake umekuwa mgumu.
Kuna kipindi nilipanga kuachana nae lakini baadae nikamtafuta mwenyewe.
Sihitaji kuoa na yeye analijua hilo...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.