Ina Maana wewe na mahakama zetu, ww una akili sana, mahakama zilitoa ufafanuzi na uamuzi kuwa Josephine tayari aliachana na mumewe, mzee mzima anayejua kulea kachukua, hakuna kosa, naamini sana mahakama zetu hasa kuu, slaa ni rais mtarajiwa ndo maana kila anapotoa hoja mbadala CCM wanaichukua