Recent content by BUGORORA

  1. B

    BAVICHA Ubungo: Kongamano la vijana kesho Jumamosi

    Bavicha Ubungo! utawasikia wanasema tutamchangia mnyika pesa achukue fomu ya ubunge ila kwenye ajenda yao Haipo dah siasa za bongo bhana
  2. B

    Dr. Slaa: Sitakula sahani moja na mafisadi

    Ina Maana wewe na mahakama zetu, ww una akili sana, mahakama zilitoa ufafanuzi na uamuzi kuwa Josephine tayari aliachana na mumewe, mzee mzima anayejua kulea kachukua, hakuna kosa, naamini sana mahakama zetu hasa kuu, slaa ni rais mtarajiwa ndo maana kila anapotoa hoja mbadala CCM wanaichukua
  3. B

    Urais 2015: Nilichokisema jana kuhusiana na kauli ya Lowassa

    Nyerere aliwahi sema na kushangaa imekuwaje kijana mdogo vile ana utajiri tena aliuita ukwasi, akajiuliza hizo pesa amezipata wapi wakati alikuwa kiongozi wa CCM na muda fupi akawa kiongozi au mkurugenzi wa AICT akasema huyu mtu sio safi hata kidogo sio muadilifu na hapaswi kuwa rais, lowassa...
  4. B

    Kinachomsumbua Lowassa ni hiki

    CosaNostra achen udaku
  5. B

    Diwani Ubungo ni nani, hadi sasa kafanya nini?

    Mimi ni mkazi wa Ubungo ila hadi leo sijui diwani wetu anayeitwa Boniphace katufanyia nini wana-Ubungo,mikutano haitishi,shughuli za kijamii hatumuoni ila kazi yake kubwa ni kuongea na kujisifu. Wana-Ubungo chukueni fomu za udiwani la sivyo tutaendelea kuburuzwa tena ni eneo lenye chuo kikuu...
  6. B

    Chagonja na sinema ya mwaka!

    serikali dhaifu,viongozi dhaifu,hata mtaani kwetu hakuna kiongozi mzaramo au mkwere kama we unaye angalia uongozi wake
  7. B

    Chagonja na sinema ya mwaka!

    serikali dhaifu,jamii dhaifu,wasomi dhaifu,wakwere dhaifu na familia dhaifu
  8. B

    Chagonja na sinema ya mwaka!

    Serikali dhaifu,viongozi dhaifu,watawala dhaifu,jamii dhaifu na wasomi dhaifu matokeo yake ndio hayo.
Back
Top Bottom