Naombeni namna RASMI ya kuwapata ofisi ya gazeti la Serikali kwa njia ya mawasiliano kwani, Kila nikiomba namba zao kwa watu mbali mbali napewa namba za watu binafsi. Ina maana hawana namba RASMI ya ofisi?
Nataka kutuma form yangu ya DEEDPOL Ili nipate control number niilipie ichapwe kwenye...
Leo, saa 5 Hvi asubuhi, Kitongoji Cha UKWAMA,kata ya Mapogoro, wilaya ya Mbarali-MBEYA saa 5 Hvi asubuhi, Kuna land cruiser ikiwa umbali wa 300m hvi from S/MSINGI UKWAMA ikarusha "DRONE" had maeneo ya karibu na Madarasa&ofc ya shule.
Tumeuliza Mtendaji wa Kijiji hadi Kata & viongozi wetu...
JamiiForums uses cookies to help personalise content, tailor your experience and to keep you logged in if you register.
By continuing to use this site, you are consenting to our use of cookies.