Recent content by Buberwa Edesius

  1. B

    Mahakama ilimshindwa Davido, inawezaje kuzuia Escrow Bungeni?

    lazima watanzania tuamue kuamka sasa hatuwez kukubali mabilion yetu kuliwa na wazandiki wa nchi ....leo lazima tumjue yupi tumbil yupi njiwa .pongezi kwa bahadhi ya wabunge wa ccm wanaotuunga mkono juu ya hili...
  2. B

    Waliochaguliwa MUCE

    Jamani kama umechaguliwa MUCE jipange kipiga msuli make ni xheeeda. saa nane ucku watu wanapixhana bungen. wale wa coz ya history kuna ticha mmoja anaitwa ombol na kajicho lazima axhike mtu aisee
  3. B

    Uhaba wa maji UDOM na athari zake...

    Hamia mkwawa university ujionee maji yanavyo tiririka chuoni! Hadi chumbani kwako kwa wale wanaolala wawili wawili!-
  4. B

    Karibuni MUCE,a.k.a PEPONI.

    Muce ndo habari ya mjini msosi book hadi unauacha kwenye sahani! Full maji ni wewee tu!
  5. B

    Mwenye uwelewa juu ya mkwawa university

    dah! Asante sana mjomba tuko pamoja sana! Kagera 2 iringa! Ndo mpango mzima!
  6. B

    Ranking mpya za vyuo 100 africa

    Na wa duce anaesabiwa wapi?
  7. B

    Mwenye uwelewa juu ya mkwawa university

    nasikia kuna mwalinu wa history ni balaa!
  8. B

    Mwenye uwelewa juu ya mkwawa university

    hapo nimekusoma sana kwa hyo hata nikifika stand usiku siwezi kupotea?
  9. B

    Mwenye uwelewa juu ya mkwawa university

    sawa ni ya kawaida lakini si unajua na mkopo walizingua hawa heslb! Ukiplus na nauli ya kutoka karagwe 2 iringa ni lazima kujipanga mkuu
  10. B

    Mwenye uwelewa juu ya mkwawa university

    Asante mkuu ngoja nijipange kinomanoma!
  11. B

    Mwenye uwelewa juu ya mkwawa university

    Jamani kawa anaejua mkwawa univesity aka muce anijuze haya yafuatayo maana nimechaguliwa huko.. 1 kuhusu hostel zipo za kutosha? 2.kwa mwaka hostel ni sh ngapi? 3 chuo kipo sehemu gani iringa? 4.msuli wa pale vipi? 5 kuna huduma za jamii karibu? 6.misosi ya bei nafuu inapatikana? Ndo hayo jamani...
  12. B

    jkt yaongeza majina ya wanafunzi kidato cha sita awamu ya 3

    Sasa ndo wamevurugwa kabisa watakoma mwaka huu! Wenye4 wapo diploma na wenye ziro wamerudia darasa
Back
Top Bottom